SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Tena na hilo baridi lao ndo linalochangia haaahaatanzania nzima miziki inateketeza vijana hapa niko njombe kuna ukimiwi kama mchanga
hiyo mada yake ni nzuli watu wamichukia pale alipo sema saudia na na kutaja uwisilamu hapo sasa ndipo chuki ilipo amka,ukweli wamemuelewa ila wanajitoa akiliKuolewa mapema hakuwezi kumzuwia mtu kusoma tatzo lako umekaririshw kwamba ukiolewa ndio basi tena kama mtu anaolewa na akaendelea na kufanya biashara yake ya mama nitilie sokoni au kuuza duka anashindwa je mtu kama huyo kutoweza kusoma hapo msingi ni kutengeneza mfumo ambao mtu alieolew hauwezi mbana majukumu ya familia na ndoa tembea uone Msumbiji tu hapo mtu anatoka nyumbani na mimba au na mtoto mgongoni anaenda shule na anafanya vzr darasani tu je hakuna wasomi wa kike
Nchi kama saudia unatak kunambia hakuna wasomi wa kike kwa vile wanaolewa mapema
Mm sioni tofauti kusoma na kutafuta maisha sokoni kama mwanamke alieolew anaweza kwenda dukani kwake kuuza akiwa na ndoa yake hawezi shindwa kwenda shule na kusom
Shida mumejaririshw na elimu za kimagharibi kiasi kwamba uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo huwazi nje ya mawaz ya mzungu namkubali sana jpm
Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
hiyo chukiiiii mtu katoa mawazo yake wewe unaweseka utaugua ugonjwa wa moyo buleWewe ndo umekariri kuwa nje ya mawazo ya mwarabu basi ni mawazo ya mzungu, unasahau kuna mawazo ya mswahili aliye huru kifikra kama mimi mwenye watoto wa kike wanaofanikiwa na wanafanikiwa sababu baba yao nilifanya maamuzi sahihi kuwalea na kuwakuza wakaelewa wanatakiwa kufanya nini ili wasikiuke tamaduni za familia na ukoo wangu.
Wewe wa kwako peleka waolewe na miaka 12 ila si hapa Tanganyika maana tutakufunga wewe na muoaji tukikupata.
wewe ndie ulie chemka kwa uelewa wako mdogo katazo la kuziya kuozesha mtoto wa kike akiwa na miaka hiyo limeanza juzi hili wa some wazazi wetu walio wengi zama hizo wakiolewa tu wanapo vunja ungo tena wakizaa vizuli tu pia wapo wamm wazima wanashindwa kujifungua wengine njia ndogo wengine pumzi tatizo akili zetu zakushikiwaKwenye hili la kuolewa na umri mdogo naona mkuu umechemka,umeshawahi kufuatilia mabinti wa kimasai ambao wana hiyo mila?kabinti kakifika tu 12 au 13 kanaoelewa,sasa fanya reseach utakuja kuniambia hapa,vingi vikipata ujauzito ngoma ipo kwenye kujifungua,vingi kwakuwa vinakuwa havijatanuka pelvic girdles kiasi cha kutosha vinaishia kushindwa kuzaa,kupoteza damu nyingi na mwishoe kufa,ni wachache wanaowahishwa hopitali ndio wanafanikiwa kuzaa salama...
Tamaa inavyokuongoza kutamani watoto kwa kutafuta uhalali mara sijui vuzi sijui damu ndivyo utakavyotafuta sababu ya kuwaingilia wenye umri mdogo zaidi mpaka unajikuta ushanajisi katoto kasicho na mwaka. Hizi kesi zipo.hao watoto wa miaka 14 ndio wanao jiuza chunguza utaona wewe mtoto wa kike kaisha ota mavuzi na kutokwa damu bado huyo mtoto tu
Jikite kwenye kukumbuka kuwa nchi yako inaongozwa na sheria zisizo za kiarabu wala kiitaliano. Na hizi sheria zinakataza kufanya ngono na watoto.hiyo chukiiiii mtu katoa mawazo yake wewe unaweseka utaugua ugonjwa wa moyo bule