Rais Samia, punguza uoga kwa walipa kodi wako, hakuna mwenye mpango wa kukudhuru

Rais Samia, punguza uoga kwa walipa kodi wako, hakuna mwenye mpango wa kukudhuru

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya Morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale Kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
 
Viongozi wa Afrika ni pasua kichwa! Wanapenda sana kujimwambafai kwa raia wenzao.

Cha kushangaza wakienda nchi za nje wanapandishwa mpaka kwenye basi moja, huku wakiwa hawana hata walinzi wao binafsi! Na wanakuwa salama tu.
 
Waweza kuwa una point ya kuzuiana kutumia barabara wakati wa misafara ila umeharibu kabisa kusema eti wakati wa mtangulizi wake hawakuzuia. Aisee kuna mtu alikuwa muoga wa halaiki na alikuwa na ulinzi kama huyo bwana mtangulizi? Ni nani alianzisha maulinzi kuogopa wapiga kura wake kama sio bwana mtangulizi?

Wakati watu wanalalamika kipindi kile mlikuwa mstari wa mbele kutetea kwa hoja za kizembe kabisa kuwa 'mnadhani huyu ni mwenzenu atembee bila ulinzi' au ' anakomesha mafisadi na mabeberu watamdhuru' sasa kwani mama Samia hawezi kudhuriwa na hao anaowakomesha?

Tulieni dawa iingie, mkiruka ruka sindano itavunjikia ndani
 
Muongo mkubwa wewe,Nani mwenye ujasiri wa kurusha jiwe kwa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania? Utaanzia wapi? Utapata wapi ujasiri huo? Mtanzania yupi atakayekuelewa na kukuacha unyanyue mkono wako kurusha jiwe kuelekea kwa Rais huyu anayependwa na mamillion ya watanzania wanaotamani hata kusiwepo uchaguzi wa Urais kusudi aendelee kuwahudumia watanzania?
 
Waweza kuwa una point ya kuzuiana kutumia barabara wakati wa misafara ila umeharibu kabisa kusema eti wakati wa mtangulizi wake hawakuzuia. Aisee kuna mtu alikuwa muoga wa halaiki na alikuwa na ulinzi kama huyo bwana mtangulizi? Ni nani alianzisha maulinzi kuogopa wapiga kura wake kama sio bwana mtangulizi?

Wakati watu wanalalamika kipindi kile mlikuwa mstari wa mbele kutetea kwa hoja za kizembe kabisa kuwa 'mnadhani huyu ni mwenzenu atembee bila ulinzi' au ' anakomesha mafisadi na mabeberu watamdhuru' sasa kwani mama Samia hawezi kudhuriwa na hao anaowakomesha?

Tulieni dawa iingie, mkiruka ruka sindano itavunjikia ndani
Magufuli alikuwa anasolimama na kugawa pesa kila anapoona halaiki
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
Huyo [emoji117][emoji90] hakuna anaye mkubali zaidi ni mafisadi tu ...yeye mwenyewe anajua vizuri huu ukweli ...ndiyo maana nasema sijui kama atachukua fomu kugomea maana kashi kashi za kampeni ni hatari kuliko kusafiri na gari
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya Morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale Kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
ILa hamzidi yule mzalendo na kipenz cha watu lkn kulikua na amoured car, makomandoo, usalama kila kona, walinzi wake na bado helicopter ikirandaranda angani 🤣🤣🤣. Hapo ni kipenz cha watu na mzalendo je ingekua hapendwi?
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
Tz viongonzi wanajazwa hofu na watu flani Ili wapige pesa, ni hofu hii rais wa Zambia walitaka mjazia ila mwamba akaishinda,

Binadam unae lala na kuamuka jina Sababu ya kuwa mwoga Ili Hali tangu unakuja Duniani , ratiba ya kuishi na kufa ipo pale pale, ni njia GANI hapo ndo imebaki kuwa siri kubwa
 
Yule mwingine tuliambiwa,"The guilty are afraid"
 
Ndio maana mabeberu walisema hali ya usalama sio nzuri, hii misafara na ulinzi mkuuubwa nayo ni kipimo cha usalama wa eneo husika.
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya Morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale Kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
Yaani...wamesema, " wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais!" Yaani kabisa walisema hivi kwa kipaza sauti kwa abiria wote au walikueleza wewe pekeako? Weewe jamaa muongo sana! 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom