Rais Samia, punguza uoga kwa walipa kodi wako, hakuna mwenye mpango wa kukudhuru

Rais Samia, punguza uoga kwa walipa kodi wako, hakuna mwenye mpango wa kukudhuru

Muongo mkubwa wewe,Nani mwenye ujasiri wa kurusha jiwe kwa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania? Utaanzia wapi? Utapata wapi ujasiri huo? Mtanzania yupi atakayekuelewa na kukuacha unyanyue mkono wako kurusha jiwe kuelekea kwa Rais huyu anayependwa na mamillion ya watanzania wanaotamani hata kusiwepo uchaguzi wa Urais kusudi aendelee kuwahudumia watanzania?
Mbona hujaweka number ya simu kama kawaida yako? We jamaa kwa post zako na comment zako kwa kukudhania tuu utakuwa unavalia suruali juu ya kifua kama huyu mwamba chini[emoji116][emoji116]
Screenshot_20230130-230740.jpg
 
Muongo mkubwa wewe,Nani mwenye ujasiri wa kurusha jiwe kwa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania? Utaanzia wapi? Utapata wapi ujasiri huo? Mtanzania yupi atakayekuelewa na kukuacha unyanyue mkono wako kurusha jiwe kuelekea kwa Rais huyu anayependwa na mamillion ya watanzania wanaotamani hata kusiwepo uchaguzi wa Urais kusudi aendelee kuwahudumia watanzania?
Duh.! Ila we jamaa
 
Muongo mkubwa wewe,Nani mwenye ujasiri wa kurusha jiwe kwa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania? Utaanzia wapi? Utapata wapi ujasiri huo? Mtanzania yupi atakayekuelewa na kukuacha unyanyue mkono wako kurusha jiwe kuelekea kwa Rais huyu anayependwa na mamillion ya watanzania wanaotamani hata kusiwepo uchaguzi wa Urais kusudi aendelee kuwahudumia watanzania?
Jitahidi jina lako tulipeleka kwenye wakuu wa wilaya likakataliwa. Ila usichoke bado tunakupambania.
 
Ila kusema ukweli hata akipita hapo naona kawaida hana mvuto, halafu yule fundi wake aache kumvalisha MAOVERALL, atafute mbunifu mzuri
 
ILa hamzidi yule mzalendo na kipenz cha watu lkn kulikua na amoured car, makomandoo, usalama kila kona, walinzi wake na bado helicopter ikirandaranda angani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hapo ni kipenz cha watu na mzalendo je ingekua hapendwi?
Adui wa yule walikuwa ni mafisadi papa na mabeberu ndiyo sababu ila kwa huyu ajuza adui zake wakubwa ni wazalendo na masikini
 
Hebu jaribu kuiangaisha akili yako kidogo, yeye mhe.Rais alikuwepo kuzuia hao wananchi? Na yeye anapangiwa pa kupita.
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya Morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale Kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
Sasa hapa aliyekuambia kuwa ana hofu Samia au usalama? Mbn unamlisha maneno Rais wetu!!!
 
Kwa hiyo na wewe ukaamini hiyo chai uliyonyweshwa na hao wanausalama..........yaani wewe mwenzangu na mimi upewe details za kiusalama zinazohusu msafara wa rais, jiongeze mkuu.
 
Adui wa yule walikuwa ni mafisadi papa na mabeberu ndiyo sababu ila kwa huyu ajuza adui zake wakubwa ni wazalendo na masikini
Ondoa ujinga akilin mwako, fisadi papa yupi alifungwa gerezani? Kamwe asingeweza uadui na beberu ambalo unalitegemea kwa misaada mingi. Kupambana na beberu kunahitaji akili san na sio maguvu watakuvua nguo zote ubaki uchi!! Kuna mzalendo nchi hii? Yaan mliwa brainwash watanzania et wazalendo 🤣🤣🤣🤣.
 
Leo kulikua ma msafara wa mheshimiwa Rais Dr Samia ulikua unapita barabara ya Morogoro Road kuelekea maeneo ya Kibaha huko, cha ajabu sisi raia tunaotumia huduma za usafiri za mwendokasi tukazuiwa kupanda lile daraja la mwendokasi pale Kimara kwa kile tulichoambiwa na wana usalama pale waliokua eneo la tukio kuwa wanahofia wananchi wasije wakalipiga mawe gari la Rais Samia.

Sasa kama unasifiwa ndani na nje kuwa unaupiga mwingi kwa nini uwe na hofu na wapiga kura wako? Mbona pamoja na mabaya yanayosemwa kumhusu mtangulizi wako lakini haijawahi kutokea hali ya uoga kama hii yako wewe unaesifiwa kuwa ni Rais mwema?
Huyo mtangulizi si ndiye aliyeleta magari ya miantena sijui ya kutegua mabomu na kuzuia mawasiliano eneo alilopo na hata ikulu kuingia ilikuwa kama unataka kuingia mbinguni na ile barabara ya ocean road wakaifunga yote ilikuwa kwa sababu ya uoga wa huyo mtangulizi.
 
Anaogopa kuulizwa Bei ya Mchele maana inaelekea 4,000/=.per 1kg.
 
Back
Top Bottom