Rais Samia rekebisha mapungufu Utumishi kama yapo lakini sio kuruhusu taasisi ziajiri zenyewe

Rais Samia rekebisha mapungufu Utumishi kama yapo lakini sio kuruhusu taasisi ziajiri zenyewe

LINGWAMBA

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2023
Posts
484
Reaction score
1,214
Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani, wewe ndio Rais wetu, tukiwa na shida lazima tukulilie wewe. Kuna mengi umeifanyia hii nchi mazuri na unasifa kubwa ya kuwa msikivu mfano suala la DP World.

Umesema umechukuwa mapendekezo ya watu ukarekebisha baadhi ya vitu vilivyolalamikiwa, na mimi leo ninakuomba hili suala la kuwapa mamlaka taasisi za serikali ziajili wenyewe, hapo sisi watoto wa masikini tusiokuwa na connection yoyote kupata hizo nafasi ni 5% tu.

Mfano mwezi huu NSSF walitangaza nafasi za kazi lakini ni kwa watu wa internal tu waliokuwa wanajitolea hapo NSSF. Jiulize, mimi ambae sina ndugu NSSF kupata tu field hapo sipati, hiyo kujitolea hili niwe na kigezo cha kuajiliwa nnatoa wapi?

Ombi langu mama; Rudisha nafasi zote za ajira Utumishi.
 
Sasa na wewe nani alikuzuia usiende kujitolea hapo NSSF? Mkiambiwa mjitoleee hamtaki sasa kweli unategemea ikitokea nafasi humo huyo aliyejitolea mfano miaka 2 na tayari amejiua mengi kuhusiana na utendaji wa taasisi aachwe upate wewe mgeni?
 
Sasa na wewe nani alikuzuia usiende kujitolea hapo NSSF? Mkiambiwa mjitoleee hamtaki sasa kweli unategemea ikitokea nafasi humo huyo aliyejitolea mfano miaka 2 na tayari amejiua mengi kuhusiana na utendaji wa taasisi aachwe upate wewe mgeni?
Hapo mmejaa watoto wa shangazi na mjomba tu wengne kupata tu nafasi ya field hatupati ndio itakuwa kujitolea hila mimi nimetolea tu mfano wa NSSSF hila kama na ww ni mmoja wapo ya mliyoingizwa na wajomba zenu utajua mwenyewe mimi msg nimemtumia rais samia na ataisoma na marekebisho yatafanyika hajawahi kuniangusha kwenye ufuatiliaji hii sio haki nafasi za kujitolea mnatoa kindugu halafu kwenye kuajili mnataka waliojitolea wakati watoto wa wakulima kupata nafasi ya field tu mnatunyima.
 
Sasa na wewe nani alikuzuia usiende kujitolea hapo NSSF? Mkiambiwa mjitoleee hamtaki sasa kweli unategemea ikitokea nafasi humo huyo aliyejitolea mfano miaka 2 na tayari amejiua mengi kuhusiana na utendaji wa taasisi aachwe upate wewe mgeni?
Uelewi ground za graduates kwenye hizo ofisi wewe..!
 
Sasa na wewe nani alikuzuia usiende kujitolea hapo NSSF? Mkiambiwa mjitoleee hamtaki sasa kweli unategemea ikitokea nafasi humo huyo aliyejitolea mfano miaka 2 na tayari amejiua mengi kuhusiana na utendaji wa taasisi aachwe upate wewe mgeni?
Watu wa hivi wanajiangalia wao na ni wabinafsi. Hawavai viatu vya huyo aliyejitolea kwa muda mrefu. Yeye anakaa vijiweni anataka awe sawa na aliyejitolea.

Experience. Tabia. Uaminifu vyote vimepimwa, hata Vetting inakuwa ya kawaida mno.
 
Uelewi ground za graduates kwenye hizo ofisi wewe..!
Hizo ground Za graduate ndio ndio kwa nafasi zaidi ya 400+ wangechukua internal hata nusu wengine watoto wa masikini wasio na ndugu serikalini mnataka kujazana wenyewe tu halafu tusiokuwa na ndugu mnatusimanga tukalime
 
Watu wa hivi wanajiangalia wao na ni wabinafsi. Hawavai viatu vya huyo aliyejitolea kwa muda mrefu. Yeye anakaa vijiweni anataka awe sawa na aliyejitolea.

Experience. Tabia. Uaminifu vyote vimepimwa, hata Vetting inakuwa ya kawaida mno.
Hyo nafasi ya kujitolea mbona sisi tukija kuomba tunanyimwa? Ajira ni haki ya kila mtanzania taasisi za serikali isiwe taasisi kama za family
 
Hyo nafasi ya kujitolea mbona sisi tukija kuomba tunanyimwa? Ajira ni haki ya kila mtanzania taasisi za serikali isiwe taasisi kama za family
Kuna mengi yaanaangaliwa (Nimeona graduates wengi uandikaji wao wa CV na Akili tu ya kazi hawana)

Pia sio kila utakachoomba upewe (Requirements plus Org Culture), maombi unapeleka kama unapeleka kwa shangazi yako, uandishi mbovu wa cover letter etc.

Kigezo cha wewe kuwa MASKINI au Kujiita Mtoto wa MASKINI au MTOTO wa MKULIMA hakukupi kazi.

Angalia unamapungufu gani, jijenge, jitofautishe na graduates wengine, hakika utatoboa. Ila ukikaa kuumiza kichwa na roho ya kinyongo kwanini fulani kapata kazi kisa alijitolea haitakujenga wala hutosolve changamoto. Na price yako itazidi kushuka kila siku unavyozidi kukaa nyumbani.
 
Sasa na wewe nani alikuzuia usiende kujitolea hapo NSSF? Mkiambiwa mjitoleee hamtaki sasa kweli unategemea ikitokea nafasi humo huyo aliyejitolea mfano miaka 2 na tayari amejiua mengi kuhusiana na utendaji wa taasisi aachwe upate wewe mgeni?
Elimu na umri wako tafadhali kama hutojali mkuu!!
 
Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani, wewe ndio Rais wetu, tukiwa na shida lazima tukulilie wewe. Kuna mengi umeifanyia hii nchi mazuri na unasifa kubwa ya kuwa msikivu mfano suala la DP World.

Umesema umechukuwa mapendekezo ya watu ukarekebisha baadhi ya vitu vilivyolalamikiwa, na mimi leo ninakuomba hili suala la kuwapa mamlaka taasisi za serikali ziajili wenyewe, hapo sisi watoto wa masikini tusiokuwa na connection yoyote kupata hizo nafasi ni 5% tu.

Mfano mwezi huu NSSF walitangaza nafasi za kazi lakini ni kwa watu wa internal tu waliokuwa wanajitolea hapo NSSF. Jiulize, mimi ambae sina ndugu NSSF kupata tu field hapo sipati, hiyo kujitolea hili niwe na kigezo cha kuajiliwa nnatoa wapi?

Ombi langu mama; Rudisha nafasi zote za ajira Utumishi.
Taasisi ambazo Zina mrengo wa kibiashara ziachwe ziajiri wenyewe Ili kuondoa urasimu.
 
Na hili suala kama mama hatopita hapa jf kusoma maoni nna andika kabisa barua kwenda ofisi ya rais tushawachoka nafasi 400+ mnataka kujazana wenyewe na ndugu zenu bora hata nusu mngechukua wengine
 
Taasisi ambazo Zina mrengo wa kibiashara ziachwe ziajiri wenyewe Ili kuondoa urasimu.
Kuondoa urasimu au kuzidisha urasimu unakumbuka kipindi cha dau wakawa wanasema wamejaa waislam jpm kaja kaondo kukawa hata tusiokuwa na ndugu tunapata nafasi mama kairudisha hata mwezi bado wametoa nafasi lakini wanataka waliojitolea wakati ukienda kuomba kujitolea unafukuzwa na barua zako
 
Elimu na umri wako tafadhali kama hutojali mkuu!!
Hao ndio wanaofaidika na huu mfumo aliourudisha mama pale bila kuwa na mjomba hata field hupati sasa inakuwaje watu vipengele vya kujitolea wakati kujitolea hawatutaki mpk tupelekwe na shangazi
 
Jpm alikuwa ana akili sna yule mzee kupeleka ajira zote utumishi nna hisi kuna watu wamemshauri mama kwa maslahi yao au mama kuna mapungufu kayaona utumishi ndio maana nimemuomba arekebishe hayo mapungufu tuendelee na mfumo kama wa zamani tupitie utumishi,mimi ww sitaki unipotezee muda nnajua unajua hyo nsssf mfumo wake wa ajira hata kupata hzo kujitolea na field bila kuwa na mtu hupati na mnawekana tu mama mkubwa na mjomba hila unataka kunichosha tu hyo vetting wanayofanya siwangefanya takukuru mbona wao wanatangaza ajira na watu wanaomba inakuwaje nyinyi mtuambie waliojitolea wakati tukija kuomba kujitolea mnatufuza kama mbwa
Weka ushahidi wa kufukuzwa kama mbwa. Ukiambiwa ulete ushahidi kwa uliyoyaandika unaweza? Change attitude think positively.
 
Weka ushahidi wa kufukuzwa kama mbwa. Ukiambiwa ulete ushahidi kwa uliyoyaandika unaweza? Change attitude think positively.
Huwezi kujua hustle za watu wasiokuwa na connection bro ww tulia mjomba kashapeleka jina mmetuma barua za maombi kuzugia tu hata hyo kujitolea umepata kimchongo barua hujapeleka ww umempa mjomba kaipeleka
 
Watu wanapingana kuruduce beurecracy na centralization wao ndy kwanza wanataka kuendeleza..
 
Watu wanapingana kuruduce beurecracy na centralization wao ndy kwanza wanataka kuendeleza..
Kwetu hapa bado sna ukiwapa uhuru ndio kama hvyo wamepewa nafasi wa ajiri wenyewe walichofanya ndio hicho sasa unatoa ajira unasema kwa internal tu hiyo internal watu wanahangaika miaka na miaka hupati kwani tra hakuna internal mbona walitoa watu waombe hyo internal kama huna mjomba pale hata uende na barua una vigezo vyote inatiwa kapuni
 
Back
Top Bottom