Rais Samia: Sasa Tanzania inazalisha mbegu zake yenyewe

Rais Samia: Sasa Tanzania inazalisha mbegu zake yenyewe

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
"Huko nyuma Tanzania tulikuwa tunaagiza mbegu kutoka nje ya nchi lakini sasa tunazalisha wenyewe kwa kuziwezesha sekta binafsi kufanya "research" na kuanzisha mashamba yanayozalisha mbegu bora na kuzisambaza hadi nchi nyingine." - Rais Samia Suluhu akizungumza kwenye mkutano wa wakuu Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojadili mabadiliko ya tabia ya nchi na usalama wa chakula.

Chanzo: Clouds Media

View: https://www.instagram.com/p/C0ADABWtdet/
 
Back
Top Bottom