benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
"Huko nyuma Tanzania tulikuwa tunaagiza mbegu kutoka nje ya nchi lakini sasa tunazalisha wenyewe kwa kuziwezesha sekta binafsi kufanya "research" na kuanzisha mashamba yanayozalisha mbegu bora na kuzisambaza hadi nchi nyingine." - Rais Samia Suluhu akizungumza kwenye mkutano wa wakuu Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojadili mabadiliko ya tabia ya nchi na usalama wa chakula.
Chanzo: Clouds Media
View: https://www.instagram.com/p/C0ADABWtdet/
Chanzo: Clouds Media
View: https://www.instagram.com/p/C0ADABWtdet/