Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Ni kweli kupanda gari la juu kwa hawa wazee wetu ni changamoto.
Ni vizuri wakaliona pia kwa Mama Maria Nyerere.
 
Ni kweli kupanda gari la juu kwa hawa wazee wetu ni changamoto.
Ni vizuri wakaliona pia kwa Mama Maria Nyerere.
Ni kweli kabisa uzee hiyo ngumu sana vitu vingine.
Malkia kafa mda wake ulipofika ila hakuna alichokosa mpk anafariki labda mume tu.
 
Kumbuka Tshs 450m = 15 Tractors
 
Mzee wa Ruksa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…