Rais Samia: Serikali Itajenga Viwanja 2 vya Mpira wa Miguu Dodoma na Arusha kabla ya AfCoN 2027

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Akihutubia kama mgeni Rasmi siku ya Simba Day, Rais Dk. Samia amesema Serikali yake Itajenga Viwanja vya Mpira wa Miguu vipya 2 kwenye Miji ya Arusha na Dodoma Ili kujiandaa na kuwa mwennyeji wa AfCoN 2027.

Rais Samia amesema viwanja hivyo vitakuwa na uwezo wa kuchukua Watazamani elfu 30,000 Kila Kimoja.

Your browser is not able to display this video.

My Take: Ni jambo zuri na Jema na la kupongezwa ila binafsi ningependelea ijengwe Sports Complex Moja Dodoma yenye uwezo wa watazamaji 50,000 lakini ikiwa na viwanja vingine vya michezo mbalimbali kama arena, kuogelea, mbio,viwanja vya mazoezi nk.

Kwa Arusha kijengwe Kimoja tuu Cha kizuri Cha watazamaji 30,000

View: https://www.instagram.com/p/CxsvKhPoVET/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Tungekuwa na angalau viwanja vinne vyenye hadhi ya mashindano hayo.
Kwa gharama za Sasa za ujenzi hapo unatakiwa kuwa na takribani Bilioni 400 Sasa kama Rais anaficha Bilioni πŸ’― nyumbani kwake huku nyie mkitakiwa kuwa.Wazalendo unadhani itakuaje?
 
Kwa gharama za Sasa za ujenzi hapo unatakiwa kuwa na takribani Bilioni 400 Sasa kama Rais anaficha Bilioni πŸ’― nyumbani kwake huku nyie mkitakiwa kuwa.Wazalendo unadhani itakuaje?
Imesimama njoo ukalie
 
Kwa gharama za Sasa za ujenzi hapo unatakiwa kuwa na takribani Bilioni 400 Sasa kama Rais anaficha Bilioni πŸ’― nyumbani kwake huku nyie mkitakiwa kuwa.Wazalendo unadhani itakuaje?
Unataka kusema mzilankende alikuwa anatuhubiria uzalendo wakati kwenye moja vya vyumba kuna MARUNDO ya noti?
 
Tunataka viwanja vya michezo yote ili watoto na vijana washiriki kwenye michuano ya kitaifa
Mpira sawa ila uwezo hamna kabisa, hivi kuna wangapi wanacheza kimataifa

Sasa uwanja wa mpira peke yake wa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…