Damu ya Mbowe inakulilia kwasabb wewe ndiye kiongozi mkuu wa chama tawala na serikali.
Wafuasi wa Mbowe kucha kutwa wanajenga chuki dhidi yako mpk hapo utakapomwachia kiongozi wao.
Familia ya Mbowe inakulilia usiku na mchana, inapoamka, inapokula na inapolala.
Mliopo karibu na Samia mwambieni amwachie Mbowe. Siyo gaidi.
Wewe unatumia vigezo gani kusema Mbowe ni gaidi?unatumia vigezo gani kusema mbowe si gaidi?
sijasema popote mbowe ni gaidiWewe unatumia vigezo gani kusema Mbowe ni gaidi?
Mie nauliza kwani alomkamata Mbowe ni Samia?Damu ya Mbowe inakulilia kwasabb wewe ndiye kiongozi mkuu wa chama tawala na serikali.
Wafuasi wa Mbowe kucha kutwa wanajenga chuki dhidi yako mpk hapo utakapomwachia kiongozi wao.
Familia ya Mbowe inakulilia usiku na mchana, inapoamka, inapokula na inapolala.
Mliopo karibu na Samia mwambieni amwachie Mbowe. Siyo gaidi.
Hilo ni wazi kwa kila mwenye akili. Labda uwe punguani ndiyo utaamini hizi sarakasi za wale wauaji wa Lijenje.unatumia vigezo gani kusema mbowe si gaidi?
duh1 kusema "hilo ni wazi kwa kila mwenye akili" unakua unamaanisha nini mkuu?Hilo ni wazi kwa kila mwenye akili. Labda uwe punguani ndiyo utaamini hizi sarakasi za wale wauaji wa Lijenje.
Magaidi, tena kwa ushahidi mwingi, ni polisi. Hata hicho wanachomfanyia Mbowe ni sehemu ya ugaidi.
Kuna siku Samia na hao washauri wake wale maharamia kwa uovu waliputenda dhidi ya Mbowe, dhidi ya wale makomandoo na mauaji ya komandoo Lijenje.Tanzania nzima the so-called wazee wote akina Warioba, Kikwete, Mwinyi, Msekwa, Makinda, wazazi wa Samia, baba wa Samia, shangazi wa Samia, wajomba wa Samia, Masheikh wa Samia, Mama Maria, Makinda and a long chain of so-called wazee mmeshindwa kumshawishi Samia kumwachia Mbowe ( maana Mbowe atateswa bure, anasingiziwa kutokana na mawazo ya kisiasa tofauti na Samia).
Dunia nzima imeshindwa kumshauri Samia? Nyerere alimweka ndani mtu wa Cyprus, kwa hekina za Askofu Makarios, alimwachai baada ya kuombwa fanye hivyo.
Hapa kwetu so-called wazee wameshindwa au ndiyo CCM policy kwamba Mbowe anahatarisha uhai wa CCM madarakani?
Hii kesi ni kesi bandia iliyotengenezwa na Serikali. Anachotakiwa Samia ni kufanya toba kwa uovu huu walioutenda dhidi ya Mbowe na wale vijana. Kisha kuwaachia.Kwanini umshinikize Rais amuachie Mbowe ilhali kesi ipo Mahakamani!???
Kutwa nzima mnaiomba Serikali itawale kwa kufuata katiba ikiwemo utawala bora na demokrasia, sasa inakuwaje nyinyi wana Chadema mnashinikiza Rais aingilie uhuru wa Mahakama!??
Hivi mkishika madaraka ( Mungu aepushie mbali) si mtakuwa mnaziingilia sana hizi Mahakama kutimiza kazi zao kwa uhuru..!???
Ndiyo maana nimesema kila mwenye akili anajua kuwa kesi ya Mbowe ni ya kubambikiwa. Wenye akili wanayajua mazingira ya Mbowe kukamatwa mpaka kuingizwa mahabusu, na kisha kushtakiwa. Watanzania wenye akili na jamii ya kimataifa inafahamu kwa uwazi kwa nini Mbowe yupo ndani.duh1 kusema "hilo ni wazi kwa kila mwenye akili" unakua unamaanisha nini mkuu?
hii kauli yako ndio ushahidi kwamba mbowe si gaidi?
Kwa inafiki anaofanya samia atakujs kufa mdomo wazi aulize waliofanya dhuluma wapo wapiKwanini umshinikize Rais amuachie Mbowe ilhali kesi ipo Mahakamani!???
Kutwa nzima mnaiomba Serikali itawale kwa kufuata katiba ikiwemo utawala bora na demokrasia, sasa inakuwaje nyinyi wana Chadema mnashinikiza Rais aingilie uhuru wa Mahakama!??
Hivi mkishika madaraka ( Mungu aepushie mbali) si mtakuwa mnaziingilia sana hizi Mahakama kutimiza kazi zao kwa uhuru..!???
AMENKuna siku Samia na hao washauri wake wale maharamia kwa uovu waliputenda dhidi ya Mbowe, dhidi ya wale makomandoo na mauaji ya komandoo Lijenje.
Mungu wangu, ujuaye mema na mabaya yetu, walipe hawa watesi sawasawa na matendo yao ili watambue kuwa hawana wanachowazidi binadamu wengine katika ubinadamu wao. Wasipotubu, tena kwa toba iliyo njema, tunaomba laana ikatembee juu yao na wazao wao.
Ithibitishie jf kwamba kwenye harakati za kupigania katiba mpya, mbowe alikua peke yake!Mbowe amekamatwa na kuwekwa ndani kwa sababu ya harakati za kupigania katiba mpya. Baada ya kuwekwa mahabusu, ndiyo akatafutiwa shitaka. Na kulikuwa na mabishano miongoni mwao wabambikiaji wamshtaki kwa kosa gani litakalokamilisha dhamira yao ya kuhakikisha anakaa ndani.