Rais Samia si wa kulaumiwa mpaka sasa

Rais Samia si wa kulaumiwa mpaka sasa

Fukua

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
546
Reaction score
479
Salamu,

Bila kumung'unya maneno katiba yetu ni tatizo la msingi sana, hata huu ugumu wa maisha ni zao la katiba wengi hawawezi kuelewa hapa.

Kwa kiwango kikubwa haya magumu tuliyo nayo Sasa ni matokeo ya uvurugaji wa yule aliyepita, na ukweli ni kwamba tutaumia Kwa zaidi ya miaka 15 Wenye akili wataelewa hapa.

Raisi Samia kuiongoza na kuifikisha nchi hapa ilipo ni miujiza na ushujaa, wafuasi wa mwendazake watakasirika sana hapa.

Mama endelelea kuwatumikia wananchi kwani tunakuelewa sana.

2025 -2030 tunakutegemea hapa wapinzani watanuna sana lkn hakuna namna.
 
Yule aliyepita aliacha vitu Bei chini lakini huyu aliyopo ameshindwa kudhibiti mfumko wa Bei kwanini tusilaumu
Bei ya bidhaa kuongezaeka Hilo ni Dunia nzima,na Kila mwaka lazima iwe hivyo ukubali ukatae kwani alivyoingia yeye madarakani bidhaa hazikuoanda?
 
Yule aliyepita aliacha vitu Bei chini lakini huyu aliyopo ameshindwa kudhibiti mfumko wa Bei kwanini tusilaumu
watu wameamka siku hizi

kuwadanganya eti wapiganie Katiba Mpya ije ishushe bei ya Mafuta iliyopanda Dunia nzima wanakuona kama mchekeshaji tu

siku hizi page zinazoongelea ndoa ya Haji Manara na ya Dr Mwaka zinapata followers wengi kuliko za mijadala ya Kisiasa kwa kuwa kote kumeonekana ni ubabaishaji tu
 
watu wameamka siku hizi

kuwadanganya eti wapiganie Katiba Mpya ije ishushe bei ya Mafuta iliyopanda Dunia nzima wanakuona kama mchekeshaji tu

siku hizi page zinazoongelea ndoa ya Haji Manara na ya Dr Mwaka zinapata followers wengi kuliko za mijadala ya Kisiasa kwa kuwa kote kumeonekana ni ubabaishaji tu
Na katiba SI mwarobaini ndio maana raia hawana mda nayo? Mnachekesha sana
 
watu wameamka siku hizi

kuwadanganya eti wapiganie Katiba Mpya ije ishushe bei ya Mafuta iliyopanda Dunia nzima wanakuona kama mchekeshaji tu

siku hizi page zinazoongelea ndoa ya Haji Manara na ya Dr Mwaka zinapata followers wengi kuliko za mijadala ya Kisiasa kwa kuwa kote kumeonekana ni ubabaishaji tu
Siku mkija na pendekezo la kufuta Katiba ili nchi iendeshwe Kwa Presidential decree nitaungana nanyi.
 
Siku mkija na pendekezo la kufuta Katiba ili nchi iendeshwe Kwa Presidential decree nitaungana nanyi.
Heti katiba Mpya SI muhimu Sasa SI tufute hata hii tuliyonayo?
 
Salamu,

Bila kumung'unya maneno katiba yetu ni tatizo la msingi sana, hata huu ugumu wa maisha ni zao la katiba wengi hawawezi kuelewa hapa.

Kwa kiwango kikubwa haya magumu tuliyo nayo Sasa ni matokeo ya uvurugaji wa yule aliyepita, na ukweli ni kwamba tutaumia Kwa zaidi ya miaka 15 Wenye akili wataelewa hapa.

Raisi Samia kuiongoza na kuifikisha nchi hapa ilipo ni miujiza na ushujaa, wafuasi wa mwendazake watakasirika sana hapa.

Mama endelelea kuwatumikia wananchi kwani tunakuelewa sana.

2025 -2030 tunakutegemea hapa wapinzani watanuna sana lkn hakuna namna.
Kwani mliambiwa yeye ni "Mungu Mtu'

Mnachagua nani "mungu mtu"

Kitaeleweka
 
Back
Top Bottom