Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
"Simamieni haki za watu kwenye ardhi" - Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.
---
Migogoro ya Ardhi imekuwa mingi sana, watu hawana raha kwa migogoro ya ardhi. Wana viardhi vyao vinanyang'anywa nyang'anywa.
Kuna wababe wao ndiyo wanajifanya Master Ardhi wanapita munyang'anya Wananchi ardhi zao.
Niwaombe sana simamieni haki za watu kwenye ardhi
Migogoro ya Ardhi imekuwa mingi sana, watu hawana raha kwa migogoro ya ardhi. Wana viardhi vyao vinanyang'anywa nyang'anywa.
Kuna wababe wao ndiyo wanajifanya Master Ardhi wanapita munyang'anya Wananchi ardhi zao.
Niwaombe sana simamieni haki za watu kwenye ardhi