Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P
Unajikombakomba...
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.

Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.

Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.

Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya... Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Najua anajua kuwa anachomekewa au anaamua na yeye kuwachomeka wakati anajua mzigo unamwangukia si afanye vetting upya? Maana walishasema wanalamba asali (Makamba senior voice). Wanatumia kijiko au kidole wanajua wao.
 
It's a fact...
Hatuna haja ya kuremba remba...
Mama yamemshinda...
Screenshot_20240608-151416.png
 
Pascal kosa lile lile ulilofanya kwa kuimba na kusifia magufuli ATCL baadae ukaja kuomba radhi unalirudia tena.
Ukinikumbusha nilifanya kosa gani kwa Magifuli na ATCL kisha nikaomba msamaha, nitakushukuru.
Pascal uwe na akiba ya maneno usijimalize kiasi hichi mkuu.
Mbona mimi ni mtu wa akiba sana ya maneno, mfano mzuri ni ujio wa Magufuli, niliusema humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli nikasema niliambiwa sababu, jee uliwahi kuzisikia nikizisema?.

Nimeitwa kuhojiwa Bungeni Dodoma, uliwahi nisikia nikisema kulitokea nini?.

Kuhusu 2025 kuna kitu nakijua, nimekieleza humu kwenye sauti HII jee nimekitaja?.
P
 
Ukinikumbusha nilifanya kosa gani kwa Magifuli na ATCL kisha nikaomba msamaha, nitakushukuru.
Pascal,

Ulisifu sana huku ukiingiza na ukabila kwamba sisi “wasukuma”
Binafsi nilishangaa sana lile bandiko lako likifurahia kujaa kwa ndege. Tena kipindi magufuli akifanya vitu kwa ubabe mkubwa bila ya kushirikisha hata mihimili mingine.


Baadae mkuu pascal ukaja kusema hivi

Post in thread 'Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka'
Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka

Mkuu pascal hukuandika kitu kibaya ila ulikuwa Ukisifia sana huku ukiweka suala la ukabila. Mtu kama wewe kwa kazi yako kuna mambo unapaswa kuyaepuka.

Ulikiri mwenyewe hukuwa unaelewa unachosifia. Ndio maana nikasema hata yanayoendelea sasa kuwa na akiba ya maneno pascal. Muda huwa ni mwalimu mzuri.

Labda kama uwe umeamua kuwa waimba mapambio kama wengine, ila kwako nafikiri haipo hivyo.
 

Attachments

  • 3D6DADBB-1DC4-4F03-8E7A-11C779F2F746.jpeg
    3D6DADBB-1DC4-4F03-8E7A-11C779F2F746.jpeg
    119.3 KB · Views: 2
Ili nikaufanyie nini huo uteuzi?. Mtu ayesaka uteuzi anaweza kutoa hoja kama HII ?.
P
expand...
"hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P"
Hiki ni nini kama siyo kujaribu kujionesha ili ukumbukwe kwenye uteuzi?
 
Pascal,

Ulisifu sana huku ukiingiza na ukabila kwamba sisi “wasukuma”
Binafsi nilishangaa sana lile bandiko lako likifurahia kujaa kwa ndege. Tena kipindi magufuli akifanya vitu kwa ubabe mkubwa bila ya kushirikisha hata mihimili mingine.


Baadae mkuu pascal ukaja kusema hivi

Post in thread 'Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka'
Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka

Mkuu pascal hukuandika kitu kibaya ila ulikuwa Ukisifia sana huku ukiweka suala la ukabila. Mtu kama wewe kwa kazi yako kuna mambo unapaswa kuyaepuka.

Ulikiri mwenyewe hukuwa unaelewa unachosifia. Ndio maana nikasema hata yanayoendelea sasa kuwa na akiba ya maneno pascal. Muda huwa ni mwalimu mzuri.

Labda kama uwe umeamua kuwa waimba mapambio kama wengine, ila kwako nafikiri haipo hivyo.
Kwanza asante kunikumbusha, yote niliyoyasema kuhusu JPM na ununuzi wa ndege mpya ni ya kweli kabisa, na nilieleza kila kitu,
Wanabodi,

Kwenye Mazuri Tupongeze, Kwenye Mapungufu Tukosoe.
Miongoni mwa sifa za pekee za sisi Wasukuma, ni pamoja na kuwa wakweli daima, kwenye mazuri tutapongeza na kwenye mapungufu tutakosoa, huku tukiweka mapendekezo ya nini kifanyike kuboresha. Hii inaitwa constructive criticism, hivyo naomba kukiri, mimi ni miongoni mwa wakosoaji wakubwa wa ATC, na pia ni miongoni mwa waliopinga Dreamliner kuruka domestic routes, lakini kitendo cha route ya Mwanza, kuwa full kwa wiki nzima, huu ni uthibitisho kuwa Tanzania tuna abiria wa kutosha kuijaza Dreamliner route ya Mwanza, hivyo ATC itakapo routes za nje, ndege itajaa, lakini kama route hiyo ina faida au haina, hili sio langu, ni la wachumi wa airline business, na lile la kurusha mdege mkubwa wa long distance, kwa short domestic routes, hili pia sio la kwangu, hili ni wataalam wa mambo ya avionics. Hoja ya kununua ndege kwa cash money badala ya hire purchase, pia sio ya kwangu, hii ni hoja ya wataalam wa procurement and supplies, mimi hoja yangu hapa ni kuwa Dreamliner haita jaa kwa sababu tulielezwa humu na wataalumu wetu humu jf kuwa dreamliner ni dege kubwa sana kwa nchi yetu, na kuwa hatuna abiria wa kutosha kulishibisha kwa kulijaza, jana nime waprove wrong wataalamu wetu wa humu JF kwa dreamliner kujaa full na nikaianziashia uzi huu

Kitendo cha Dreamliner Kujaa, Kinahitaji Pongezi Kwa ATC na Pongezi kwa Rais Magufuli kwa Aumuzi wake Kununua Ndege kwa Cash, Ameona mbali hivyo ni Visionary Leader.
Kwa vile zilitolewa hoja humu kuwa Dreamliner haijai, nimepanda na nimeshuhudia imejaa full, kwa hili tuu ATCL inastahili pongezi, ila pia pongezi ziende pia kwa aliyenunua ndege hizi, japo siungi
mkono ule ununuzi wa cash, ninachopongezea ni uamuzi wa acquirement ya hizo ndege, hadi sasa
Tanzania tunamiliki dream-liner ikiwa ni nchi ya tatu barani Africa kumiliki Dreamliner. hongera sana rais Magufuli, japo njia tulizotumia kuipata zilikuwa na mazongezonge, lakini the end justify the means, Dreamliner yetu ipo in reality na sasa inajaa full!.
Hii maana yake, kiongozi anaweza kufanya jambo baya na tukamshutumu, mbele ya safari hilo jambo baya likaleta matokeo mazuri, wewe wewe ulielaani lile jambo baya, utapongeza, hayo mazuri ya jambo baya!.

Ubakaji ni kosa la jinai, lakini ukimbaka mgumba, aliyeolewa na tajiri, lakini ananyanyaswa na kusimangwa kwenye ndoa yake kwa sababu ya ugumba, akashika ujauzito, na kuiokoa ndoa yake, kimoyo moyo atakushukuru, na mtoto akitimiza miaka 3, mwanamke huyo atakutafuta na kukupa, umbake tena ili apate mtoto wa pili. This time akakupa yote!, ila haimaanishi kile kitendo cha ubakaji ni kizuri na sio kosa.

Kununua ndege bila business plan ni kosa. Kununua ndege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi ni kosa. Kurusha ndege kubwa za long distance haul kwa short distance routes ni kosa, engine zina wear and tear mapema!.
Ila ndege imejaa unatoa pongezi!.
Sijawahi kuliombea msamaha hili la ndege popote!.
P
 
kiufupi mkuu pascal ulitoa sifa kwa kitu usichokielewa. Nashukuru kwa kukiri kwa barafu hukuwa unaelewa na sasa unaelewa.
Kama nilivyosema, hakuna mkamilifu, no.one is perfect, kuna siku niliwakosea Chadema humu niliposema CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais

Mhe. Regia Mtema akanishukia Pasco Tuombe radhi CHADEMA-Umemwelewa Vibaya Hon Mbowe

Niliomba radhi Nawaomba radhi wana CHADEMA, nilimwelewa vibaya Mhe. Mbowe - Pasco

Hivyo nikokosea huwa naomba msamaha, ila yote niliyoeleza humu kumhusu JPM ni ukweli mtupu na sijawahi kuombea msamaha. Hata Samia, tunampongeza kwa mazuri yake na kumkosoa panapostahili ukosoaji.

P
 
kiufupi mkuu pascal ulitoa sifa kwa kitu usichokielewa. Nashukuru kwa kukiri kwa barafu hukuwa unaelewa na sasa unaelewa.
Ndugu yangu passion_amo1, pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinu. JF kwa sasa imekuwa zaidi ya kokoro, inazoa hadi visivyozoeleka. Kuna wakati nashawishika kuwa nchi hii ina laana ya aina fulani, laana kubwa...hebu tafakari hii...

Anatokea kiongozi muovu kama shetani (ni kweli binadamu, kwa uovu wake wote kama binadamu, hawezi kuwa muovu kuliko shetani) anaiba, anatesa na anaua. halafu kama janja ya panya anapuliza alipouma kupunguza maumivu.

Kila baada ya kufanya kufuru anapuliza palipoumia kwa jitihada kama ya kugawa hela kwa waathirika na ndugu zao. Sifa zinaanza kumiminka kwa jinsi anavyowajali anaowaongoza na ni vigelegele kina kona. Masikini Tanzania yetu.
 
Ndugu yangu passion_amo1, pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinu. JF kwa sasa imekuwa zaidi ya kokoro, inazoa hadi visivyozoeleka. Kuna wakati nashawishika kuwa nchi hii ina laana ya aina fulani, laana kubwa...hebu tafakari hii...

Anatokea kiongozi muovu kama shetani (ni kweli binadamu, kwa uovu wake wote kama binadamu, hawezi kuwa muovu kuliko shetani) anaiba, anatesa na anaua. halafu kama janja ya panya anapuliza alipouma kupunguza maumivu.

Kila baada ya kufanya kufuru anapuliza palipoumia kwa jitihada kama ya kugawa hela kwa waathirika na ndugu zao. Sifa zinaanza kumiminka kwa jinsi anavyowajali anaowaongoza na ni vigelegele kina kona. Masikini Tanzania yetu.
Mkuu Mag3,

Kiukweli nilichokuwa ninamuonyesha hapo pascal ndicho anachoendelea kukifanya.

Katika ule Uzi pascal aliandika akiwa na mapenzi ya kikabila akisema kwamba sisi wasukuma kitu ambacho kwa taaluma yake si sahihi hata kidogo.

Na watu walimtafsiri kama alikuwa chawa akililia nafasi kwa mzee wetu magufuli.

Nilishangaa sana kwanini mtu kama Pascal aandike vitu kama vile na ni mtu mwenye taaluma ya Habari. Kiukweli iliweka maswali mengi sana.

Sasa baada ya kukiri kwamba hakuelewa nini alichokuwa anakipa sifa kuna mtu akamjibu baada ya “kufa magufuli ndio akili imekurudi sasa Hongera sasa”

nilikuwa ninamwambia Pascal awe na akiba ya maneno na asiwe mjuaji sana.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.

Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.

Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.

Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya... Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Tatizo liko hivi hao wanaoteuliwa kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data, herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and fear of their leaders, yaani unayeteuliwa unapokuwa nyumbu nipale anaposhindwa kufanya maamuzi kwa masilahi ya taifa badala yake anajipendekeza ama kutumikia kundi fulani au uoga wa viongozi wake
 
Back
Top Bottom