hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.
Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.
Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.
Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.
Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.
Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.
Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.
Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.
Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.
Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.
Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili
Ni Albert Msando. Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe? What was he doing there? Fingering her? What the hell is wrong with you Samia? Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on...
www.jamiiforums.com
Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.
Najua anajua kuwa anachomekewa au anaamua na yeye kuwachomeka wakati anajua mzigo unamwangukia si afanye vetting upya? Maana walishasema wanalamba asali (Makamba senior voice). Wanatumia kijiko au kidole wanajua wao.
Ulisifu sana huku ukiingiza na ukabila kwamba sisi “wasukuma”
Binafsi nilishangaa sana lile bandiko lako likifurahia kujaa kwa ndege. Tena kipindi magufuli akifanya vitu kwa ubabe mkubwa bila ya kushirikisha hata mihimili mingine.
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...
"hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P"
Hiki ni nini kama siyo kujaribu kujionesha ili ukumbukwe kwenye uteuzi?
Ulisifu sana huku ukiingiza na ukabila kwamba sisi “wasukuma”
Binafsi nilishangaa sana lile bandiko lako likifurahia kujaa kwa ndege. Tena kipindi magufuli akifanya vitu kwa ubabe mkubwa bila ya kushirikisha hata mihimili mingine.
Wanabodi, Angalizo: Naomba kulianza bandiko kwa kwa angalizo, kama na wewe ni mmoja miongoni wa wale members humu wenye allergy na pongezi zozote kwa mazuri yoyote yanayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya Awamu ya Tano, naomba uishie hapa, nisije nikakuharibia siku yako. Declaration...
Kwenye Mazuri Tupongeze, Kwenye Mapungufu Tukosoe.
Miongoni mwa sifa za pekee za sisi Wasukuma, ni pamoja na kuwa wakweli daima, kwenye mazuri tutapongeza na kwenye mapungufu tutakosoa, huku tukiweka mapendekezo ya nini kifanyike kuboresha. Hii inaitwa constructive criticism, hivyo naomba kukiri, mimi ni miongoni mwa wakosoaji wakubwa wa ATC, na pia ni miongoni mwa waliopinga Dreamliner kuruka domestic routes, lakini kitendo cha route ya Mwanza, kuwa full kwa wiki nzima, huu ni uthibitisho kuwa Tanzania tuna abiria wa kutosha kuijaza Dreamliner route ya Mwanza, hivyo ATC itakapo routes za nje, ndege itajaa, lakini kama route hiyo ina faida au haina, hili sio langu, ni la wachumi wa airline business, na lile la kurusha mdege mkubwa wa long distance, kwa short domestic routes, hili pia sio la kwangu, hili ni wataalam wa mambo ya avionics. Hoja ya kununua ndege kwa cash money badala ya hire purchase, pia sio ya kwangu, hii ni hoja ya wataalam wa procurement and supplies, mimi hoja yangu hapa ni kuwa Dreamliner haita jaa kwa sababu tulielezwa humu na wataalumu wetu humu jf kuwa dreamliner ni dege kubwa sana kwa nchi yetu, na kuwa hatuna abiria wa kutosha kulishibisha kwa kulijaza, jana nime waprove wrong wataalamu wetu wa humu JF kwa dreamliner kujaa full na nikaianziashia uzi huu
Kitendo cha Dreamliner Kujaa, Kinahitaji Pongezi Kwa ATC na Pongezi kwa Rais Magufuli kwa Aumuzi wake Kununua Ndege kwa Cash, Ameona mbali hivyo ni Visionary Leader.
Kwa vile zilitolewa hoja humu kuwa Dreamliner haijai, nimepanda na nimeshuhudia imejaa full, kwa hili tuu ATCL inastahili pongezi, ila pia pongezi ziende pia kwa aliyenunua ndege hizi, japo siungi
mkono ule ununuzi wa cash, ninachopongezea ni uamuzi wa acquirement ya hizo ndege, hadi sasa
Tanzania tunamiliki dream-liner ikiwa ni nchi ya tatu barani Africa kumiliki Dreamliner. hongera sana rais Magufuli, japo njia tulizotumia kuipata zilikuwa na mazongezonge, lakini the end justify the means, Dreamliner yetu ipo in reality na sasa inajaa full!.
Hii maana yake, kiongozi anaweza kufanya jambo baya na tukamshutumu, mbele ya safari hilo jambo baya likaleta matokeo mazuri, wewe wewe ulielaani lile jambo baya, utapongeza, hayo mazuri ya jambo baya!.
Ubakaji ni kosa la jinai, lakini ukimbaka mgumba, aliyeolewa na tajiri, lakini ananyanyaswa na kusimangwa kwenye ndoa yake kwa sababu ya ugumba, akashika ujauzito, na kuiokoa ndoa yake, kimoyo moyo atakushukuru, na mtoto akitimiza miaka 3, mwanamke huyo atakutafuta na kukupa, umbake tena ili apate mtoto wa pili. This time akakupa yote!, ila haimaanishi kile kitendo cha ubakaji ni kizuri na sio kosa.
Kununua ndege bila business plan ni kosa. Kununua ndege kwa cash kwa mtindo wa kupiga tanchi ni kosa. Kurusha ndege kubwa za long distance haul kwa short distance routes ni kosa, engine zina wear and tear mapema!.
Ila ndege imejaa unatoa pongezi!.
Sijawahi kuliombea msamaha hili la ndege popote!.
P
Hivyo nikokosea huwa naomba msamaha, ila yote niliyoeleza humu kumhusu JPM ni ukweli mtupu na sijawahi kuombea msamaha. Hata Samia, tunampongeza kwa mazuri yake na kumkosoa panapostahili ukosoaji.
Ndugu yangu passion_amo1, pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinu. JF kwa sasa imekuwa zaidi ya kokoro, inazoa hadi visivyozoeleka. Kuna wakati nashawishika kuwa nchi hii ina laana ya aina fulani, laana kubwa...hebu tafakari hii...
Anatokea kiongozi muovu kama shetani (ni kweli binadamu, kwa uovu wake wote kama binadamu, hawezi kuwa muovu kuliko shetani) anaiba, anatesa na anaua. halafu kama janja ya panya anapuliza alipouma kupunguza maumivu.
Kila baada ya kufanya kufuru anapuliza palipoumia kwa jitihada kama ya kugawa hela kwa waathirika na ndugu zao. Sifa zinaanza kumiminka kwa jinsi anavyowajali anaowaongoza na ni vigelegele kina kona. Masikini Tanzania yetu.
Ndugu yangu passion_amo1, pole sana kwa kutwanga maji kwenye kinu. JF kwa sasa imekuwa zaidi ya kokoro, inazoa hadi visivyozoeleka. Kuna wakati nashawishika kuwa nchi hii ina laana ya aina fulani, laana kubwa...hebu tafakari hii...
Anatokea kiongozi muovu kama shetani (ni kweli binadamu, kwa uovu wake wote kama binadamu, hawezi kuwa muovu kuliko shetani) anaiba, anatesa na anaua. halafu kama janja ya panya anapuliza alipouma kupunguza maumivu.
Kila baada ya kufanya kufuru anapuliza palipoumia kwa jitihada kama ya kugawa hela kwa waathirika na ndugu zao. Sifa zinaanza kumiminka kwa jinsi anavyowajali anaowaongoza na ni vigelegele kina kona. Masikini Tanzania yetu.
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.
Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.
Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.
Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.
Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.
Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.
Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.
Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.
Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.
Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.
Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili
Ni Albert Msando. Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe? What was he doing there? Fingering her? What the hell is wrong with you Samia? Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on...
www.jamiiforums.com
Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.
Tatizo liko hivi hao wanaoteuliwa kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data, herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and fear of their leaders, yaani unayeteuliwa unapokuwa nyumbu nipale anaposhindwa kufanya maamuzi kwa masilahi ya taifa badala yake anajipendekeza ama kutumikia kundi fulani au uoga wa viongozi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.