Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Watu mnakosea sana, mnategemea aseme yuko kinyume naye aamshe mjadala mkubwa na asiungwe mkono na wafuasi wa Magu?
Kuna wakati ukiwa KIONGOZI unapaswa kuwa mnafiki kidogo.
Ki matendo mama na Magu ni vitu viwili tofauti
 
Watu mnakosea sana, mnategemea aseme yuko kinyume naye aamshe mjadala mkubwa na asiungwe mkono na wafuasi wa Magu?
Kuna wakati ukiwa KIONGOZI unapaswa kuwa mnafiki kidogo.
Ki matendo mama na Magu ni vitu viwili tofauti
Hapana. JPM bila haya wala soni aliwaambia wastaafu kila zama zina kitabu chak, wanyamaze nao wakatii. Ikiwa hii ni awamu ya sita kwa nini tuendelee kusomeshwa kitabu cha awamu ya tano kilichojaa mashairi ya huzuni, mateso, vilio na mustakabali wa maisha ya watu usioeleweka?

Aseme yuko ccm tu kama jpm, inatosha, siyo yeye na jpm ni kitu kimoja.

Ni kweli kimatendo wanaweza kuwa tofauti. Lakini uelewe kuwa siasa is about perception, what you perceive baada ya kusikia. Kinachosikika kutoka kwake ndicho watu wanaperceive na kuamini.
 
Mama alisema kwamba ataendeleza yale mema yote aliyoyafanya mwendazake, kwa hiyo yale mabaya ya Magufuli Mama ameshayazika.
 
Wanataka wampotoshe mama,hii nchi kwa sasa jinsi wananchi wengi wanajua kazi alizofanya Magufuli kujitenga naye tena walikuwa naye ni kujimaliza.Mama aendelee hivyohivyo.
 
Ulitaka aseme yeye na fazili ni kitu kimoja? Acheni mama aiongoze nchi jamani, amekuwa chini ya mwamba for 5+yrs, walianza wote. Unataka asemeje kwani?
 
Mpeni nafasi aongoze kwa namna yake
 
Uko sahihi sana, kuna watu wanatamani amponde Magu, akifanya hivyo ataharibu kila kitu, anajua vyema anategwa
Hata mm simpendi Magu kupita kiasi lakini siwezi kumponda hadharani itakuwa ni upumbavu mkubwa sn, kiongozi lazima uwe na hekima na busara
 
Ulitaka aseme yeye na fazili ni kitu kimoja? Acheni mama aiongoze nchi jamani, amekuwa chini ya mwamba for 5+yrs, walianza wote. Unataka asemeje kwani?
Sure yule ni kiongozi wa wote hata kama jambo haubaliano nalo hawezi kuongea wazi wazi
 
ccm watagombana kwa sabbau mbalimbali lakini linapokuja swala la kutawala nchi, WATAUNGANA SANA!
 
Mpeni nafasi aongoze kwa namna yake
Ndicho tunataka. Anaposema yeye na mshikaji ni kitu kimoja. Kinachokuja katika fikra za wengi ni kuwa pengine tutaona wimbi jipya la wasiojulikana wakiumiza watu kwa kasi kubwa zaidi.....hata slogani ya kazi iendelee angeipadilisha hata aseme "mwelekeo mpya"
 
Alichelewa kukemea. Tungemsifu ang
Alichelewa kukemea. Tungemsifu tangu wabunge wachache sijui walitumwa na nani walipoanza kumkashim Hayati Nabii Mfalme JPM ndio tungemuelewa.
 
Koh! Koh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…