Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo

Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Rais Samia Suuhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kwa kutoa ruzuku ya mbolea inayowapelekea wakulima kununua mbolea kwa nusu bei

Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu:

1. Kaondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mbolea ya ndani

2. Kaweka ruzuku kwenye mbolea ya nje ishuke bei

3. Bei ya mbegu ina ruzuku ishuke bei

4. Riba ya mikopo ya kilimo imeshushwa.
 
Back
Top Bottom