Rais Samia Suuhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kwa kutoa ruzuku ya mbolea inayowapelekea wakulima kununua mbolea kwa nusu bei
Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu:
1. Kaondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mbolea ya ndani
2. Kaweka ruzuku kwenye mbolea ya nje ishuke bei
3. Bei ya mbegu ina ruzuku ishuke bei
4. Riba ya mikopo ya kilimo imeshushwa.
Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu:
1. Kaondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mbolea ya ndani
2. Kaweka ruzuku kwenye mbolea ya nje ishuke bei
3. Bei ya mbegu ina ruzuku ishuke bei
4. Riba ya mikopo ya kilimo imeshushwa.