Mfugale aliteuliwa na Magufuli enzi akiwa waziri.Sheria zimebadirika?
Rais wa JMT amekuwa kama Rais wa Znz sasa anateua mpk wakurugenzi na watendaji wakuu? Hii katiba hii????!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfugale aliteuliwa na Magufuli enzi akiwa waziri.Sheria zimebadirika?
🤣Religious still exist
😅Rais wa JMT amekuwa kama Rais wa Znz sasa anateua mpk wakurugenzi na watendaji wakuu? Hii katiba hii????!!!!!!!!!
Kweli kila mmoja atwae walio wakwakeReligious still exist
Kamfufue aje kurekebishaMfugale aliteuliwa na Magufuli enzi akiwa waziri.Sheria zimebadirika?
Ni mwenyekiti syo mtendaji mkuu wa TAFICOMmmmh!!!
Kutoka utafiti wa magonjwa ya binadamu kwenda kuvua samaki?
GudHouse girl
[emoji849][emoji849][emoji849]mbavu zaaaangu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]House girl
kwani ameambiwa NImr kafukuzwa ??Mmmmh!!!
Kutoka utafiti wa magonjwa ya binadamu kwenda kuvua samaki?
Kama umeweza kutumia simu na kuweka comments,basi weye ni mtu mwenye akili timamu.Hivyo basi ni vizuri kama ungetumia akili zako vizuri,ni upumbavu kuweka comments za kijinga kiasi hicho.House girl
Wewe ndo hujasoma vizuri. Imeandikwa "aliyekuwa"Hujaisoma vizuri hiyo barua. Inasema "ni" na sio "alikuwa".
Siyo barua ni taarifaHujaisoma vizuri hiyo barua. Inasema "ni" na sio "alikuwa".
Hebu isome tena hiyo taarifa mkuu.Wewe ndo hujasoma vizuri. Imeandikwa "aliyekuwa"