Rais Samia Suluhu awasili nchini Korea Kusini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Korea, Mheshimiwa Yoon Suk Yeol. Ikumbukwe kuwa Korea ni moja ya washirika wakubwa wa maendeleo tangu tarehe 30 Aprili 1992.
Uhusiano wa Tanzania na Korea umegusa maisha ya wananchi moja kwa moja na lazima na no muhimu kufanya kazi ya kuukuza na kuuongezea tija zaidi. Rais Samia amesema Baadhi ya miradi mikubwa ambayo Tanzania na Korea wameshirikiana kuifanikisha ni pamoja na Daraja la Mto Malagarasi, Daraja la Tanzanite na Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila.
Vile vile Ziara hiyo inatarajiwa kuwa ni sehemu ya utekelezaji wa kazi ya Diplomasia ya Uchumi, na baada ya mazungumzo kati viongozi hao kutashuhudiwa utiaji saini makubaliano mbalimbali ya kukuza zaidi uhusiano yakigusa hasa sekta za uchukuzi, uchumi wa buluu, usafiri wa anga, madini ya kimkakati, utamaduni, sanaa na kilimo.
Rais Samia pia anatarajiwa kuwa na mazungumzo na viongozi wa kampuni kubwa za Korea kwenye sekta za nishati, miundombinu na uandaaji wa filamu.
PIA SOMA
- Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya Kusini leo 31/05/2024
Uhusiano wa Tanzania na Korea umegusa maisha ya wananchi moja kwa moja na lazima na no muhimu kufanya kazi ya kuukuza na kuuongezea tija zaidi. Rais Samia amesema Baadhi ya miradi mikubwa ambayo Tanzania na Korea wameshirikiana kuifanikisha ni pamoja na Daraja la Mto Malagarasi, Daraja la Tanzanite na Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila.
Vile vile Ziara hiyo inatarajiwa kuwa ni sehemu ya utekelezaji wa kazi ya Diplomasia ya Uchumi, na baada ya mazungumzo kati viongozi hao kutashuhudiwa utiaji saini makubaliano mbalimbali ya kukuza zaidi uhusiano yakigusa hasa sekta za uchukuzi, uchumi wa buluu, usafiri wa anga, madini ya kimkakati, utamaduni, sanaa na kilimo.
Rais Samia pia anatarajiwa kuwa na mazungumzo na viongozi wa kampuni kubwa za Korea kwenye sekta za nishati, miundombinu na uandaaji wa filamu.
PIA SOMA
- Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya Kusini leo 31/05/2024