Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa Viongozi wawili

Wanabahati kuteuliwa na Mama akiwa Marekani. Maana kuna watu wanaona Marekani ni mbinguni

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Huyu Yona Killagane atakuwa anacheza na umri miaka ya 70 mwishoni au 80 huko! Nadhani alishaondoka katika mambo ya utumishi na uongozi miaka mingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…