Mkuu wengi wao hawa ni bavicha! Wanatamani wateule wote wa Magu watolewe ila sasa tamaa yao haitimiinilichojifunza katika hizi teuzi hizi ni kuwa wabongo wengi tuna chuki na husda dhidi ya wenzetu!
kuwawazia na kuwaombea wengine wakwane ni kama shabiki wa yanga kumuua simba kwenye mikeka yange akitegemea atakula hela,wakuu kila siku mikeka itachanika!
na nishajiandaa na yajayo
wakuu tujiandae kisaikolojia
.........
Wewe umejuaje kama sio unafikiHataki wapi ni kwamba hana jipya
Wapumbavu wakati ni chanzo cha habari wetuDuu alafu kuna watu wanasema tusimuamini kigogo wa Twitter.
Eeenh Heee.Si wa majalalani [emoji16][emoji23]
Odhis *
Ana PhD ya mambo ya Natural resources yule bwana mdogo
Anafaa sana ila ni Msukuma lakini mbaya zaidi ni Kada wa Chama Tawala.Ninyongwe ikitokea pascal mayala kuchukua hio nafasi.
Pascal Mayalla ni mnafiki ...sio vyema kuwa na wanafiki kwenye nyumba nyeupe
Wewe unamuongelea Makubi. Mchembe alikuwa katibu mkuu wizara ya afya.Alikuwa CMO= Chief Medical Officer, Kabla ya hapo Mkurugenzi Mtendaji wa Bugando Medical Centre.
Alikuwa anawanyang'anya Wafanyabiashara Pesa zao huyu na Waziri wakeEdwin P. Mhede amepelekwa wapi?Jamaa amepga kazi nzuri Sana pale TRA
Kwani nyie ndio mnahakika zaid kwamba dotto ni mkosaji kuliko inavyo jua serikali?Kama Doto bado yupo, basi huyu Mama hayuko serious.
Sasa kuna hao ambao wanadai msigwa kashuka cheo, akili za masikini ni kutaka kuona wanakusanyana wengi chini kupeana moyo sijui au warogane vizuri...Masikini siku zote ni kuombea tajiri aanguke, Msigwa anazidi kupaa kutoka mwandishi wa habari hadi hapo ni hatua kubwa sana
Siyo Muhongo tu Chenge akipewa cheo watapiga makofiSasa hivi hata Prof. Muhongo akipewa kitengo watashangilia wakati enzi za kikwete walidai ana dharau...
Waziri wake ndio makamu wa rais na kapewa kazi maalum ya mapato piaAlikuwa anawanyang'anya Wafanyabiashara Pesa zao huyu na Waziri wake
Uko macho ukisikia jina la Abel makubi hahaWewe unamuongelea Makubi. Mchembe alikuwa katibu mkuu wizara ya afya.
Kilaba yule mu AIC..?TCRA kaliwa kichwa, Bado Ndugulile