Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

nilichojifunza katika hizi teuzi hizi ni kuwa wabongo wengi tuna chuki na husda dhidi ya wenzetu!

kuwawazia na kuwaombea wengine wakwane ni kama shabiki wa yanga kumuua simba kwenye mikeka yange akitegemea atakula hela,wakuu kila siku mikeka itachanika!

na nishajiandaa na yajayo

wakuu tujiandae kisaikolojia
Mkuu wengi wao hawa ni bavicha! Wanatamani wateule wote wa Magu watolewe ila sasa tamaa yao haitimii
 
Rais wetu, Mama Samia, safiii safiiii safiiiiii sanaaaaa, yaani furaha imenijaa hadi Yesu namuona kafufuka kweli..!! 🔰💚🗽🙏🙏💛💛💛💛💚💚💚🔰🔰🗽🗽👏👏👏
 
Kama Doto bado yupo, basi huyu Mama hayuko serious.
Kwani nyie ndio mnahakika zaid kwamba dotto ni mkosaji kuliko inavyo jua serikali?

Kwani mnadhani mama haoni au hasikii? Kama ilivyo zushwa kwamba Dr . Mpango kafariki lakini cha ajabu ndiye makamu wa Rais wa sasa basi yawezekana pia hata hizo tuhuma zikatungwa pia .
 
Back
Top Bottom