Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Kila zama na vituko vyake
Mkuu teuzi zingine ni za mkakati zaidi na usihadaike na CV,watu Wana ma file mawili mawili utumishi,kipilimba mwanzo CV yake haikueleweka kabisa,alikua tu mkurugenzi wa Tehama BoT
Hapo TPDC kila alieletwa kafeli,mpaka Kuna mkurugenzi aliwekwa lupango kwa amri ya Zitto kabwe
 
Kama Mataragio hakutumbuliwa na Magufuli muda wote huo, basi ujue alikuwa ni mtu quality! Magufuli alikuwa ni mwepesi kufanya maamuzi, ila akishatulia na kufanya analysis akiona mtu aliyemtumbua alikuwa hana kosa basi alikuwa akimteua tena sehemu nyingine. Mataragio hakutumbuliwa hata kwa kesi moja yoyote ya harakaharaka!!
 
Sijui kama ni mimi ila sijawahi kuona such diverse Appointments tangu Magufuli aingie Madarakani.Sasa ni wakati wa kufanya kazi.
 
Aiseee siungi mkono CV ya mrithi wa mataragio...Nilitegemea meithi wa mataragio awe competente zaidi ya Mataragio au zaidi!

Bila shaka kutakuwa na shida sehemu!

“CCM mbele kwa mbele”
 

Kapilimbi alipo hudumu ni sawa na TPDC?
 
Naona kaamua kuiga yule DG a TTCL naye alikuwa kada bila exposure.

Ila hapa mama wamemshika sharubu wa wenzie.
 
Huyu jamaaa amekuwa akigombea ubunge missenyi kule Nkenge -kagera anapigwa chini na wajumbe

Uliopita alikuwa mtu wa tatu au nne kama sikosei
 
Huyo matarajio so aliwekwa ndani kwa amri ya Zitto akiwa mwenyekiti wa PAC kwa ajili ya wizi,au nimemchanganya?
 
Hapa hapana, napingana na Mama Rais wangu. Huyu hana kabisa uzoefu, hiyo kazi kubwa sana kwake na hii ni sekta nyeti sana. Nadhani kwa teuzi zote, hii mbaya kiukweli.
 
Style ya awamu hii ya 6. Ninampa mwaka hatakuwa amepoteza umaarufu!!
Mtasubiri sana tulijua tu, CCM ya leo siyo mliyozoea. Mmemsema sana MEKO lakini reforms zote ni zake akishirikiana kwa karibu na mama yetu a.ka iron lady.Tanzania mpya wajameni mtasubiri sana
Nilikuwa ninaongelea jamaa wa twitter ndio atakuwa amepoteza umaarufu!!
 
Hotuba zake za mwanzo tu niliona mama atakuwa shida, alipomtoa Jaffo TAMISEMI ndio kabisa.

Hivi anafahamu nishati ni priority number 1 ya national security duniani. Huu utani wake mmbaya sana.
Nikikumbuka Mwinyi alivyoiuza Loliondo nakuwa na mashaka sana kama hawa Wazanzibari wana uchungu na mali za Tanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…