Mkuu teuzi zingine ni za mkakati zaidi na usihadaike na CV,watu Wana ma file mawili mawili utumishi,kipilimba mwanzo CV yake haikueleweka kabisa,alikua tu mkurugenzi wa Tehama BoTKila zama na vituko vyake
Hapo TPDC kila alieletwa kafeli,mpaka Kuna mkurugenzi aliwekwa lupango kwa amri ya Zitto kabwe