Mbunge Wa Kitaa
Senior Member
- May 25, 2014
- 122
- 118
Lazima tuhoji, nchi yetu sote na sisi ndiyo wenye nchi.Bandiko langu limejificha kidogo
Nilimaanisha kuwa hawa watu wa system cv zao hazieleweki,wakati mwingine ni very shallow
Naamini aliemuweka pale ana sababu nzito sana ambazo bahati mbaya hatuna nguvu ya kuzihoji
Kwani ulitakaje mkuu,naona unalalamika hupendekezi majawabuHata kama wangekuwa na mafaili matatu matatu. Ajira ya TPDC lazima iwe kwa mtu anayeelewaka.
Halafu mkuregenzi wa TEHEMA BoT sio mtu mdogo kama unavyofikri ukizingatia dunia inaelekea kwa kasi kwenye ICT. Pamoja na hayo mafaili 2 2 ya Kipilimba kote alipopelekwa ilikuwa ni majanga tu mwisho wa siku akapelekewa Namibia kujipumzikia.
Kwan ulitakaje comredMkuu hapa kwa TPDC sikubaliani na wewe hapana.
Sina tatizo na hilo,ungekuwa wewe ungemteua nani?Lazima tuhoji, nchi yetu sote na sisi ndiyo wenye nchi.
Analeta utani kwenye mambo seriousHotuba zake za mwanzo tu niliona mama atakuwa shida, alipomtoa Jaffo TAMISEMI ndio kabisa.
Hivi anafahamu nishati ni priority number 1 ya national security duniani. Huu utani wake mmbaya sana.
Aliwahi kumtishia zito kuwa atamua
Huyu Jamaa anaonekana mweupe sana na ataongoza kimajungu style
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata yeye mwenyewe itakuwa haamini kama ameteuliwa DG TPDC. Inawezekana ni majina yamefanana tu.
Hotuba zake za mwanzo tu niliona mama atakuwa shida, alipomtoa Jaffo TAMISEMI ndio kabisa.
Hivi anafahamu nishati ni priority number 1 ya national security duniani. Huu utani wake mmbaya sana.
Tbc wavivu sana, kipindi kimoja kinaweza kurudiwa wiki mzima, vipindi havina mvuto afadhali kuwe na hotuba ya Mhe ndo utatamani kuangalia TBCUnataka kusema mama nae hapendi kufanyiwa Ibada? (KUABUDIWA) maana hicho Kituo kipo kwaajili hiyo tu
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Mama kwa kweli hata mie ananishangaza baadhi ya maeneo. Kama jafo inasemekana kaishindwa tamisemi unamuweka umi? Tamisemi sio coronaKutolewa kwa Jafo ni sawa lakini kuingizwa kwa Umi ndo kumeacha maswali.
Kwamba ndiye ameonekana jembe kuweza kuimudu ile Wizara ukilinganisha na Jafo? [emoji4][emoji4][emoji4]
AiseeHalafu tunaambiwa kuna akiba ya viongozi ni kuchomoa tu! Huyu atakuwa kuna mzizi kakishika aisee, au kwa kuwa ni kipenyo huyu...!?!
Mama kwa kweli hata mie ananishangaza baadhi ya maeneo. Kama jafo inasemekana kaishindwa tamisemi unamuweka umi? Tamisemi sio corona