CV ya mkurugenzi mpya wa TPDC inatia shaka kwanza ni yanki wa 87 na hana jipya sana kiutendaji wa taasisi kubwa kama hiyoMkuu Makupa heshima yako.
I agree with you, she is incompetent.She is simply incompetent at the top, mapambio yalikuwa mengi kwake kwasababu alikuwa anafukia mashimo yaliyoachwa na mtangulizi wake, ngoja amalize hiyo kazi muone atakavyoanza kuvuruga mambo, I doubt her thinking capacity when it comes to matters requiring her personal decision.
Huyu wa sasa kafeli wapi?Mkuu teuzi zingine ni za mkakati zaidi na usihadaike na CV,watu Wana ma file mawili mawili utumishi,kipilimba mwanzo CV yake haikueleweka kabisa,alikua tu mkurugenzi wa Tehama BoT
Hapo TPDC kila alieletwa kafeli,mpaka Kuna mkurugenzi aliwekwa lupango kwa amri ya Zitto kabwe
Your hero not me shubbbbbbat zako
Sukuma gang mafiasoooKumekucha kumekuchaaaa. Chato empire mtaambia nini watu?
Mlikurupuka sana kumsifu huyo maza.....I agree with you, she is incompetent.
Huyu maama hana maajabu yoyote na tutegemee hali kua mbaya zaidi.
Kwenye huu uteuzi imeonyesha kabisa huyu mama hajielewi na wala haelewi anachokifanya.
Tumpe muda kidogo tu.
Ha ha watu Wana manenoYani mtu kafa tarehe 7 tena ndani ya Ikulu ya Dar wao wakakimbiza Makumbusho kwenda kufungia pump. Shubamitt! Msigwa naye kaonewa huruma tuu!
Kwahio umefurahi..ngoja ripoti za uchunguzi zitoke, hatuwez kuishi na chato mafia gang sukuma empire mafiaso clubKapelekwa viwanda na biashara, pole
Hawezi kufukuza so kwikKwa wizi wa huyo jamaa alitakiwa asirudi kabisa...
Wanatafutiwa kona ya kubaniwa subiri utaonaOhoooo. Mchembe na Doto James wamepona?
toka wamuondoe tido wamekosa creativity. wamefeli.Tbc wavivu sana, kipindi kimoja kinaweza kurudiwa wiki mzima, vipindi havina mvuto afadhali kuwe na hotuba ya Mhe ndo utatamani kuangalia TBC
Mh kwa hili kweli maswali yapoMAMA SAMIA AMETUMIA VIGEZO GANI KUMRUDISHA KIDATA TRA WAKATI ALIKUWA NDO FAILURE PALE. JE HUYU THOBIAS RICHARD MWENYE UZOEFU WA SALES NDO UMEMPA TPA-SERIOUS? NADANHI SIKU YAKUAPISHA TUNATAKA MAELEZO.
ASANTE
Limepona hilo jingaDr. Hassan Abbas kaliwa kichwa?
Mkuu nitoe kwa waliokimbilia kumsifu huyu maza.Mlikurupuka sana kumsifu huyo maza.....
tulieni muda utaongea....
Wanadhani mama ndio mwisho wa kufanya uteuzi au kufanya reformation,Huo ndio mlango wa kutokea