G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Unataka ahukumiwe Kwa kutumia ushahidi wa kigogo?Doto james amefanya ya maajabu huko alikkuwa hakupashwa kuwepo kwenye utumishi wa Umma. labda umemfichia aibu ya mtoto wa dada. Hii haikubaliki. hapa umechemsha sana.