Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Kilio kupokezana ss zamu ya timu jiwe kulia Sisi tusio na viatu hatuchezi mechi.
 
Huyu kijana hapana.
Uzoefu wake mkubwa ni UVCCM!
Hili ni furushi la samadi ya mbolea mbichi.
Zama hizi mpya, bado mama Samia anakwenda kuokoteza makada wa CCM ambao wengi wao ni mitindio wa ubongo!
 
Subiri uchaguzi ugombee urais ukipata uwe serious. Kwa sasa mwacheni rais afanye yake.
 
MAMA SAMIA AMETUMIA VIGEZO GANI KUMRUDISHA KIDATA TRA WAKATI ALIKUWA NDO FAILURE PALE. JE HUYU THOBIAS RICHARD MWENYE UZOEFU WA SALES NDO UMEMPA TPA-SERIOUS? NADANHI SIKU YAKUAPISHA TUNATAKA MAELEZO.
ASANTE
Inaitwa recycling
Hata akina Lugola, Muhongo na yule 'Charles Njonjo' wa bongoland wajipange
 
MTU mpaka atumbuliwe mjue kuna sababu.
Au mnataka awatumbue na kuwafungulia kesii?

Dkt. MATARAGIO : AWEKA WAZI CHANGAMOTO ZA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA TOTAL


9 Sept 2019
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini TPDC Dokta James Mataragio amesema Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima Nchini Uganda hadi Chongoleani Mkoani Tanga utachelewa kutokana na uwepo wa mazungumzo ya kuuziana hisa miongoni mwa Washirika wawili kati ya watatu waliopo lakini mradi wenyewe haujafa na hata Kampuni ya Total haijajitoa.
Source : Nurdin Selemani

22 Feb 2021

PROFESA KABUDI NDANI YA PARIS NA UONGOZI WA TOTAL


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi akiwa Paris ambapo alikutana na uongozi wa kampuni ya Total juzi kuzungumzia ujenzi wa bomba la mafuta ambao unatarajiwa kuanza Machi 2021. Aelezea tukio kubwa baada ya ziara yake kuashiria kuanza ujenzi wa bomba katikati ya mwezi Machi 2021
Source : mwananchi digital
 
Teuz nyingi hapa zina walakini kwwnye hiyo orodha yake ya jana..huyu kijana ni ushahid wa aazi,hawwz hiyo kazi...
 
CCM ni ile ile ! Yani huyu Bi Mkubwa sikua na matarajio naye sana !
 
Huyu kijana hapana.
Uzoefu wake mkubwa ni UVCCM!
Hili ni furushi la samadi ya mbolea mbichi.
Zama hizi mpya, bado mama Samia anakwenda kuokoteza makada wa CCM ambao wengi wao ni mitindio wa ubongo!
Majuzi tu watu walikuwa wanapinga Sana kuchukua maprofesa wa UDSM, labda mama kaona ngoja awachanganyie na "mali mpya"
 
MTU mpaka atumbuliwe mjue kuna sababu.
Au mnataka awatumbue na kuwafungulia kesii?

Kutumbuliwa kwa Dr. James Mataragio hakuhojiwi sana. Bali mrithi wa mkurugenzi mtendaji Mpya kumezua mashaka mengi. Jakaya Kikwete alimtoa Dr. James Mataragio toka Marekani aje kutumia uzoefu wake kama mtendaji mkuu TPDC.

Hivyo Jakaya Kikwete aliweka viwango vya juu nani anafaa kuwa mkurugenzi shirika nyeti kama TPDC ndiyo maana watu wana mashaka na huyu mteuliwa mpya.

Kuhoji nako husaidia wenye mamlaka za teuzi kuunda mfumo bora utakao wasaidia kupata wateuliwa wanaokidhi matarajio na changamoto za kuongoza shirika dizaini ya TPDC n.k
 
Wengi wameanza kubweka baada ya JPM kuondoka, bado JPM atabaki mwamba hata mufanyeje kama ilivyokuwa kwa Nyerere basi ndivyo kwa JPM hakuna wa kumlinganisha naye itachukua miaka mingi sana labda kizazi kingine.
Kwa kuua watu sawa lkn sio mengi ne

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom