Rais Samia Suluhu Hassan: Alama ya mwisho ya anguko la Utawala wa CCM, Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan: Alama ya mwisho ya anguko la Utawala wa CCM, Tanzania

Tungekuwa na upinzani makini hayo unayofikiria labda yangewezekana. Lakini kwa bahati mbaya hatuna chama cha upinzani wala mpinzani wa kweli. Sabodo alimkabidhi mwenyekiti wa chadema mamilioni ya shilingi ili ajenge ofisi za chama na kuchimba visima katika maeneo mbali mbali ya nchi, kwa lengo la kuwavuta watu wajiunge na chama lakini matokeo yake mwenyekiti akatumia mamilioni yale kwenda kula bata na wema sepetu dubai, na aliporudi kutokana na nguvu alizonazo ndan ya chama hakuna mtu aliefungua kinywa chake kumuuliza chochote kuhusiana na mamilioni aliyotafuna. Kama hiyo haitoshi mwenyekiti na genge lake wakaja na plan ya kuwachangisha wabunge kila mwezi. Wabunge wakachangia chama kwa kipindi cha miaka mitano lkn mpaka leo hawajui hela hizo zimekwenda wapi na hapo hatujazungumzia ruzuku ya chama iliyokuwa inapokea wakati wa utawala wa Kikwete na magufuli, hela za michango wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, bado misaada ya mamilioni kutoka kwa wafadhili wa chama kule ulaya. Zote hizi zinatafunwa na mwenyekiti pamoj na genge lake la kumtetea hapa mitandaoni ili kufunika mabaya yake na ya chama kwa ujumla. Lipumba, Zito na Mbatia hawa ndo tunawatumia tutakavyo kudhoofisha upinzani nchini. Kifupi hakuna upinzani wa kuitoa CCM madarakan labda miaka 40 ijayo. Baada ya hawa wenyeviti wachumia matumbo kustaafu siasa au kutoka kweny nafasi zao.
Ha hahahaaaaa,dah wewe nakujua toka ungali katoto ulikuwa kaongo kama shetani, sa hivi ndio naona umebobea kabisaaa.
 
Kwa wanaofahamu huu ndo mwisho wa CCM .kuna mabadiliko makubwa yanakuja na kwa Kasi kubwa mno .Nawaambia wenye masikio na wasikie.Viongozi wote wa kuteuliwa kuweni na heshima kwa kila mtu maana mnaemtukana Leo kesho atakua boss wenu .
 
Nikueleweshe , CCM ni chama makini. Kilichotokea 17.3.2021 hata viongozi in ndani ya chama hawajaewa Hadi Leo.pili katiba ya 1977 imekuwa kitanzi Kwa ccm
Kwenye nafasi ya urais. Iwapo chama kitatoa fomu za kutosha Kwa wagombea Urais,ni wazi kuwa mama ataangukia pua.
Mama hatagombea na Hilo analifahamu
 
Huwezi kuingia msikitini ukasema "Bwana Yesu Asifiwe" au ukaingia kanisani ukasema "Takbir mwenyeji wakakuitikia ʾAllāhu ʾakbarᵘ, zaidi wakikuheshim watakutoa nje sehemu zingine unaweza jikuta mwili wako unamaumivu makali

Samia anataka kuleta utamaduni ambao haupo CCM toka imeanzishwa mwaka 1977 sasa unapoleta utamaduni mpya sehemu kuna mawili ww kufail au watu kukufelisha coz kila kitu kwao kitakuwa kigeni
 
Majira na nyakati yakifika, hakuna kina his Hindi kana...

Goliath yule Mfilisti alikuwa na tambo kubwa na mbaya kuliko hili. Hakutumia akili na maarifa kutamba...

Aliangushwa na kuuwawa na mtu mdogo sana, aliyedharaulika...

Goliath CCM jiangalieni. Tumieni akili kuchelewesha kwa kitambo kidogo kifo chenu. Mnayo nafasi. Na sababu mnayo. Fanyeni ya hekima na busara...
Siku hizi mnajitahidi Sana kutishia nyau utafikiri mnaongea na watoto
 
Ndugu unamaanisha nini? Mabadiliko gani ? Yan kwa ccm hii ianguke ni ngumu sana kibinadamu kuwaza kua IPO siku ccm inaweza kuanguka ,japo kwa Mungu kila kitu kinawezekana.
 
CCM haiwezi kuanguka kirahisi hivyo, Hilo sahau kabisa. Tena sahau sana.

CCM ni mfumo wa utawala wa nchi. CCM sio tu ni chama bali ni nchi pia. Hili kila siku kumbuka nakuomba sana.

Ki deal na CCM hakuhitajiki akili ndogo namna hv, bali akili kubwa mno.

CCM sio wepesi hivyo. Na hv sasa ndo tupo kwenye harakati za kudai reform ya chama ndo kabisa, wapinzani watapoteana mazima
Okay. Sabay Yuko wapi? Lolote laweza kutokea.
 
Ndugu yangu inawezekana kuna baadhi ya ulioyasema yakawa na ukweli fulani lakini ukweli wa mambo kwa hivi sasa hakuna chama chochote cha upinzani kinachoweza kuishinda CCM nasema tena hakuna hivi vyama tulivyonavyo viongozi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.

Mpaka sasa Viongozi wa vyama vya upinzani wanategemea huruma ya CCM harafu unasema kuna mpinzani wa kuchukua Nchi hapo? Asilimia90 ya viongozi wa upinzani wapo tayali kuludi CCM ilimradi tu ahakikishiwe kuwa atapewa/atapata cheo kwa hiyo kufikili au kudhani kuwa hawa viongozi wa sasa wa upinzani wanaweza kuchukua Nchi ni kujidanganya na ni sawasawa na kuota ndoto za mchana

Ule morali uliokuwepo kwa Wananchi miaka 6 iliopita umepungua sana haswa baada ya wapinzani kukubali kununulika kama bidhaa Wananchi wengi wameshawagundua kuwa hao ni njaa tu
 
Nikueleweshe , CCM ni chama makini. Kilichotokea 17.3.2021 hata viongozi in ndani ya chama hawajaewa Hadi Leo.pili katiba ya 1977 imekuwa kitanzi Kwa ccm
Kwenye nafasi ya urais. Iwapo chama kitatoa fomu za kutosha Kwa wagombea Urais,ni wazi kuwa mama ataangukia pua.
Nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa...

Kuna kosa likifanyika tu 2025, hiki nilichokiandika hapa kitatimia bila shaka...

Itakuwaje? Tusubiri tuone wafanye kosa hili..
 
Il
Ndugu yangu inawezekana kuna baadhi ya ulioyasema yakawa na ukweli fulani lakini ukweli wa mambo kwa hivi sasa hakuna chama chochote cha upinzani kinachoweza kuishinda CCM nasema tena hakuna hivi vyama tulivyonavyo viongozi wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.

Mpaka sasa Viongozi wa vyama vya upinzani wanategemea huruma ya CCM harafu unasema kuna mpinzani wa kuchukua Nchi hapo? Asilimia90 ya viongozi wa upinzani wapo tayali kuludi CCM ilimradi tu ahakikishiwe kuwa atapewa/atapata cheo kwa hiyo kufikili au kudhani kuwa hawa viongozi wa sasa wa upinzani wanaweza kuchukua Nchi ni kujidanganya na ni sawasawa na kuota ndoto za mchana

Ule morali uliokuwepo kwa Wananchi miaka 6 iliopita umepungua sana haswa baada ya wapinzani kukubali kununulika kama bidhaa Wananchi wengi wameshawagundua kuwa hao ni njaa tu
Ili kuchukua nchi upinzani unahitaji kufanyiwa reform ndani na pengine uwepo wa sheria zitakazowawezesha kuungana na utashi wa kisiasa kuchukua uongozi wa nchi na hususani upinzani makini na serious kuliko ilivyo sasa. Lipo tatizo kwenye upinzani wa sasa bahati mbaya sana.
 
Nafikiria bila kupata majibu kama CCM inakubalika..

Kwanini ikatae mabadiliko ya katiba?

Hivi hata kipofu au yeyote asiyeweza kuona akisomewa baadhi ya madhaifu ya katiba hii hawezi kuacha kushangaa...
 
Back
Top Bottom