Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ndege ya Rais i wapi ? Hii ndege abiriaWadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa ziarani nchini Rwanda na sasa amerejea rasmi nyumbani kuendelea kuteketeza majukumu yake ya kila siku!
Aksanteni sana
View attachment 3067595View attachment 3067596View attachment 3067597
Namuona lucas mwanangu hapo πWaja Leo waondoka Leo
Tanga hiyo πππ
Lucas yuko kwa Waganga anamroga NI YEYE ziara ibume ππNamuona lucas mwanangu hapo π
Ova
Aise πLucas yuko kwa Waganga anamroga NI YEYE ziara ibume ππ
CCM laana, wanaleta hizi picha tuone ati kuwa waliposhikwa viongozi wa Chadema Mbeya yeye alikuwa hayupo. Hizo ndiyo hesabu zao, unafiki mtupu. Nikiondoka washikeni mimi nitakanushaWadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa ziarani nchini Rwanda na sasa amerejea rasmi nyumbani kuendelea kuteketeza majukumu yake ya kila siku!
Aksanteni sana
View attachment 3067595View attachment 3067596View attachment 3067597