Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award

Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award” ikiwa ni kielelezo cha matokeo makubwa ambayo yamepatikana katika uongozi wake kufuatia ripoti ya utafiti wa demografia na afya ya mwaka 2022 inayoonesha kupungua kwa vifo vitokanavyo na uzazi kwa kiwango cha asilimia 80 pamoja na watoto wachanga.


Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hayo wakati akitoa taarifa ya upokeaji wa tuzo hiyo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, zinazoandaliwa na taasisi ya The Gates Foundation, mbele ya waandishi wa habari katika ofisi za Wizara ya Afya, Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mhagama amesema tukio hilo linafanyika nje ya Marekani katika nchi ya Tanzania kwa mara ya kwanza na Rais Samia ndiye kiongozi wa kwanza kupata tuzo hiyo kwa bara la Afrika.
images (86).jpeg


Jambo lililochagizwa na uongozi wake mahiri uliopelekea mafanikio makubwa nchini hususani katika sekta ya afya kwa kuitendea haki na kusababisha mataifa makubwa Duniani kutambua mchango wake.

Enewei! Ukiona kila unachokiongea watu wanapiga makofi mengi usidhani wanafurahi, wengine wanatoa kejeli zao kupitia makofi.

 
Tuzo za Gates Goalkeepers hutolewa na Bill & Melinda Gates Foundation kwa watu na mashirika yanayochangia kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).

Zinajumuisha tuzo kama Global Goalkeeper Award, Changemaker Award, Campaign Award, na Progress Award.

Mwaka 2024, Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da Silva alipokea tuzo, huku mwaka 2023, washindi walijumuisha Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida, Jimmy Carter, Bono, na wanaharakati wengine.

Lengo ni kuhamasisha juhudi zaidi katika sekta kama afya, elimu, na usawa wa kijinsia.

ChatGPT
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award” kama kielelezo cha matokeo makubwa ambayo yamepatikana kwenye uongozi wake kufuatia ripoti ya utafiti wa demografia na afya ya mwaka 2022 inayoonesha kupungua kwa vifo vitokanavyo na uzazi kwa asilimia 80.
Gi3MDz6WEAAQ2gu.jpg

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hayo Februari 3, 2025 wakati akitoa taarifa ya upokeaji wa tuzo hiyo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zinazoandaliwa na taasisi ya The Gates Foundation, mbele ya waandishi wa habari kwenye ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Waziri Mhagama amesema tukio hilo linafanyika nje ya Marekani nchini ya Tanzania kwa mara ya kwanza na Rais Samia ndiye kiongozi wa kwanza kupokea tuzo hiyo kwa bara la Afrika jambo lililochochewa na uongozi wake mahiri ulioleta mafanikio makubwa nchini hususani ni sekta ya afya kwa kuitendea haki na kusababisha mataifa makubwa duniani kutambua mchango wake.
Gi3MDz_WAAA1Fhb.jpg

Amesema kuwa mafanikio haya yametokana na mikakati mbalimbali iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa kutokana na utashi wa kisiasa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia kuweka mazingira wezeshi kisera pamoja na kuimarisha rufaa za akina mama na watoto.

“Rais Samia ameongeza bajeti ya kuimarisha huduma ikiwemo upatikanaji wa dawa na vifaa tiba, kusogeza huduma za dharula za uzazi karibu na wananchi kwa kujenga zaidi ya vituo 530 vya upasuaji wa kutoa mtoto tumboni,” amesema Waziri Mhagama
Gi3MD0BWAAE0JbJ.jpg

Waziri Mhagama ameipongeza Taasisi ya The Gates Foundation kwa kutambua na kuunga mkono juhudi za serikali kwenye kupambana na vifo vitokanavyo na uzazi, Watoto wachanga na walio na umri chini ya miaka mitano (5).

“Kwa namna ya kipekee, tunatambua jitihada za kipekee za Amiri jeshi Mkuu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mapambano ya vifo vya kina mama vinavyotokana na uzazi, vifo vya Watoto wachanga na Watoto walio chini ya miaka mitano, hivyo wananchi wenzangu tunayo kila sababu ya kumpongeza na kutembea kifua mbele kwa jinsi Mheshimiwa Rais anavyotung’arisha nchi yetu nje ya mipaka ya nchi yetu,” amesema Waziri Mhagama.
Gi3MD0BWAAAY_w1.jpg
 
Taasisi ya The Gates Foundation inatarajia Kumtunuku Rais Samia tuzo ya kutambua kazi yake njema na juhudi alizofanya katika kupunguza vifo vya Watoto wachanga na wakina mama wakati wa kujifungua.

Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya umesema Rais Samia atapokea tuzo ya "The Gates Goalkeeper Awards" ambayo ni Kwa mara ya kwanza kutolewa Nje ya Marekani ikiwa ni ishara ya kumtia moyo Kwa kazi kubwa aliyofanya kwenye sekta ya Afya.


View: https://www.instagram.com/p/DFo-tNMt3Eu/?igsh=cnp1NTZxenBoeDlv


View: https://www.instagram.com/p/DFnC68nKwzW/?igsh=MTJ2YTlsZ3N0MmRxdA==

My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kazi hii njema iliyotukuka Kwa kina mama na Watoto wa Tanzania.

Chadema na Haters wake wengine watanuna 😂😂

View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1886673660955779304?t=fttRdzCZD80LbLf1D5GSKg&s=19
 
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, anatarajia kupokea tuzo ya “The Gates Goalkeepers Award” ikiwa ni kielelezo cha matokeo makubwa ambayo yamepatikana katika uongozi wake kufuatia ripoti ya utafiti wa demografia na afya ya mwaka 2022 inayoonesha kupungua kwa vifo vitokanavyo na uzazi kwa kiwango cha asilimia 80 pamoja na watoto wachanga.


Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hayo wakati akitoa taarifa ya upokeaji wa tuzo hiyo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, zinazoandaliwa na taasisi ya The Gates Foundation, mbele ya waandishi wa habari katika ofisi za Wizara ya Afya, Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mhagama amesema tukio hilo linafanyika nje ya Marekani katika nchi ya Tanzania kwa mara ya kwanza na Rais Samia ndiye kiongozi wa kwanza kupata tuzo hiyo kwa bara la Afrika.
View attachment 3223798

Jambo lililochagizwa na uongozi wake mahiri uliopelekea mafanikio makubwa nchini hususani katika sekta ya afya kwa kuitendea haki na kusababisha mataifa makubwa Duniani kutambua mchango wake.

Enewei! Ukiona kila unachokiongea watu wanapiga makofi mengi usidhani wanafurahi, wengine wanatoa kejeli zao kupitia makofi.

Ukisema wa nini wenzako wanaona umuhimu wake.
 
Tuzo za Gates Goalkeepers hutolewa na Bill & Melinda Gates Foundation kwa watu na mashirika yanayochangia kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).

Zinajumuisha tuzo kama Global Goalkeeper Award, Changemaker Award, Campaign Award, na Progress Award.

Mwaka 2024, Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da Silva alipokea tuzo, huku mwaka 2023, washindi walijumuisha Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida, Jimmy Carter, Bono, na wanaharakati wengine.

Lengo ni kuhamasisha juhudi zaidi katika sekta kama afya, elimu, na usawa wa kijinsia.

ChatGPT
Wa kwanza Africa ni SSH,kongole kwake 👇👇

View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1886673660955779304?t=fttRdzCZD80LbLf1D5GSKg&s=19
 
Back
Top Bottom