Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hatari sanaUchawa na upambe umeharibu fikra za watanzania wengi tena kibaya zaidi wale walio katika rika la kuzalisha mali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaUchawa na upambe umeharibu fikra za watanzania wengi tena kibaya zaidi wale walio katika rika la kuzalisha mali.
Mmmh Mkuu Kunywa maji tafadhali.Chai kampe mamako na wajane wenzio mlioachwa na dhalimu wa chato.
Mnhh!! 😇😇Taarifa katika Ukurasa Rasmi wa Twitter wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango inasema, "Leo tarehe 06 Julai, 2022 nimeagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kabla ya Mhe. Rais Samia kuondoka kuelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"
View attachment 2282245
View attachment 2282244
Hii ni ziara ya 17 tangu aingie madarakani March 2021 kujua ziara nyingine soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
Wasomi ndo hao wanatupa stress bora tulifresh na akina Baba level, Utakuja kufa kimasikhara sana Mkuu punguza Mihemko ya Kisiasa.Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.
Watanzania wanapenda sana kujadili petty issues kuliko mambo ya maana.
Hakuna haja ya yowe. Macho tunayoWamekuja watu kutoka Oman wapo Njombe, nenda Arusha katazame ongezeko la utalii. Nenda Pwani utazame viwanda vinavyoibuka kila kukicha. Tatizo lako masikio unayategesha kusikia habari mbaya tu. Wanakuja wageni wanatajirika mswahili anachojua ni kutafuta sababu ya kukosoa tu.
Ndio nyie vijana wa hovyo haya nenda kwa mange kaangalie connection hovyo sana nyie watu. Bora shahawa zilizokuzaa babako angetumia kondom.Wasomi ndo hao wanatupa stress bora tulifresh na akina Baba level, Utakuja kufa kimasikhara sana Mkuu punguza Mihemko ya Kisiasa.
Aisee.Kula tu mama maana ni muda wako
Sasa najua ni Lusungo yule yule wa siku zote, ila nadhani kavuta bangi au kageuka kuwa chizi.Chai kampe mamako na wajane wenzio mlioachwa na dhalimu wa chato.
Samia tembea kwa kadiri utakavyoona inafaa hii nchi Nyerere alishaharibu vichwa vya watu kwa siasa zake mbovu za kijamaa. Nchi gani machawa ndo wanaonekana prominent kwa jamii kuliko wasomi? Mtanzania anaguswa na habari za Manara kuliko mfumuko wa bei.
Ukiambiwa chakula kina chumvi nyingi jibu sio kutokuweka kabisa. Kila jambo lifanyike kwa wastani. Rais hapaswi kusafiri zaidi ya safari 10 kwa mwaka. Labda kwakuwa yeye ni rais mwanamke hapo sawa.
Anaupiga mwingiMadam president
hela anayodai ndo ameiacha nyumbani watu wakipora rasilimali za nchiMwache akatafute hela jamni. Maisha yazidi kuneemeka si mnaona sasahivi life lilivyo "simple"? Nchi inafunguliwa, bei ya mafuta ni sawa na bure, umeme ndo usiseme na miradi ya kimkakati iliyoachwa na mwendazake yote imekamilika , vijana wetu wameeajiriwa, machinga wanafanya biashara zao vizuri tu hadi wanafanya graduation [emoji1787][emoji1787] AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?[emoji1787][emoji1787]
Niitie Mwamposa 😂😂😂😂Sasa najua ni Lusungo yule yule wa siku zote, ila nadhani kavuta bangi au kageuka kuwa chizi.
Samia tembea kwa kadiri utakavyoona inafaa hii nchi Nyerere alishaharibu vichwa vya watu kwa siasa zake mbovu za kijamaa. Nchi gani machawa ndo wanaonekana prominent kwa jamii kuliko wasomi? Mtanzania anaguswa na habari za Manara kuliko mfumuko wa bei.
Yan wewe Akili huna kabisa taifa lina hasara kama Chawa wa chama wenyewe ndo hawana staha mdomoni kama Mama yao kias hiki.Ndio nyie vijana wa hovyo haya nenda kwa mange kaangalie connection hovyo sana nyie watu. Bora shahawa zilizokuzaa babako angetumia kondom.
Njaa mbaya sana[emoji22]Niitie Mwamposa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]