Rais Samia Suluhu Hassan aondoka Nchini kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano

Mnhh!! πŸ˜‡πŸ˜‡
 
Vijana wanakua insipired na watu wa hovyo kama kina baba levo sijui mwijaku kuliko watu wa maana katika jamii, vijana wanaamini katika uchawa na dili kuliko kujituma.

Watanzania wanapenda sana kujadili petty issues kuliko mambo ya maana.
Wasomi ndo hao wanatupa stress bora tulifresh na akina Baba level, Utakuja kufa kimasikhara sana Mkuu punguza Mihemko ya Kisiasa.
 
Hakuna haja ya yowe. Macho tunayo
 
Wasomi ndo hao wanatupa stress bora tulifresh na akina Baba level, Utakuja kufa kimasikhara sana Mkuu punguza Mihemko ya Kisiasa.
Ndio nyie vijana wa hovyo haya nenda kwa mange kaangalie connection hovyo sana nyie watu. Bora shahawa zilizokuzaa babako angetumia kondom.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Taifa ina vilaza wengi sana, wao kwao siasa ni kushoto na kulia tu, hukuna katikati, Ni ama ukatili au udhaifu, kusafiri kupita maelezo au kutosafiri kabisa. Safari bado ndefu sana.
Ukiambiwa chakula kina chumvi nyingi jibu sio kutokuweka kabisa. Kila jambo lifanyike kwa wastani. Rais hapaswi kusafiri zaidi ya safari 10 kwa mwaka. Labda kwakuwa yeye ni rais mwanamke hapo sawa.
 
hela anayodai ndo ameiacha nyumbani watu wakipora rasilimali za nchi
1.wanyama hai
2.Gesi
3.Madini yanatoroshwa kama watu hawana akili nzuri
4.bandari watu wanapiga tu mizigo inapita free
5.etc
 

Hatari sana.
 
Ndio nyie vijana wa hovyo haya nenda kwa mange kaangalie connection hovyo sana nyie watu. Bora shahawa zilizokuzaa babako angetumia kondom.
Yan wewe Akili huna kabisa taifa lina hasara kama Chawa wa chama wenyewe ndo hawana staha mdomoni kama Mama yao kias hiki.
 
Jaman Lusungo ni Timamu wa akili? Au kaathirika na siasa za mitandaoni maana sijaona faida ya uchafu wa mdomo wake katika jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…