Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri.
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake.
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa.
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa.
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu.
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu.
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake.
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa.
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa.
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu.
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu.