Alafu unapost ukiwa sebuleni kwa shemeji ukisubili ugali was mchana ule na vitoto vya Dada yako.Kama kuongea ukweli Ni kuwa chawa Basi acha niwe chawa wa mh Rais wakuyasema mazuri yote ayafanyayo na yanayokonga nyoyo za watanzania kwa sasa
Kwani wewe huoni hata Kazi anafanya kila siku mh Rais wetu, kila siku anakiu ya kuona Tanzania Ina kuwa mpyaWewe mwqmba kila siku unakuja na uzi mpya wa kumpongeza rais...
Sio kitu kuna bure... Either wewe ni yeye kbsa au utakuwa wa buku 7
Moja ya sifanayompendea ni hakuna kuyumbishwa na makelele ya wapuuzi,kiufupi sio mtu wa mihemko.Ndugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri,
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu
Mh Rais anafanya kazi kubwa Sana Ni vile tu kwa kuwa wengine mnajipa upofu, embu jaribuni kuona kwa majirani zetu Hali Ilivyo, sisi mh Rais wetu anatoa Hadi RuzukuKwa hiyo ana kosa sifa za uongozi. Imagine nchi hii ingekuwa na katiba bora au wananchi wake wangekuwa 50% wanajitambua, kwa hii hali ya maisha inayo endelea angekuwepo hapo ofisini?
Hata wanaccm wenzake walio funguka ubongo wamemchoka kwa kufail kwake
Mkuu Lucas mwashambwa iko hivi, Mama yetu, Rais Samia ni kiongozi mzuri mno tena mwenye viwango vya kimataifa. Kinachomrudisha nyuma na kumkwamisha hana wasaidizi. Ninaamini angewasikiliza kidogo watu wake wa Vetting naamini watu kama Makamba, Nape, Mwigulu, Ridhiwani etc wasingekuwepo kwenye hizo nafasi na gharama ya maisha ingekuwa chini na watanzania wangempenda mno. Tatizo lilianzia kwenye chanjo ya korona, kila mtu alimuona kituko. Likaja la machinga hawa hawa akina Makala na wengine wakamhujumu akachukiwa. Akaja huyu Mwigulu tozo. Akaja Makamba kuhakikisha bei ya nishati inapanda. Kama utakumbuka walimdanganya Rais wakamwambia eti ni vita Ukraine, baadaye kelele zilivyozidi wakamdanganya tuweke ruzuku. Akaja nape na gharama za vifurushi etc, Ridhiwani hakupaswa kumpatia nafasi kwa sababu ya rekodi mbaya ya baba yake Dkt Kikwete. Mzee wetu JK hapendwi mno na watanzania kwa sababu ya kupenda kukumbatia watu waovu. Sasa Mama yetu uwezo wake wa kiuongozi unamezwa na maovu mengi yanayotokana na ugumu wa maisha. Wewe kama unatumwa kumsifia hapa JF ili kubadili upepo unajichosha, ni yeye mwenyewe achukue ushauri wetu wana JF aufanyie kazi na uzuri sisi ni wana CCM kindakindaki tunajua ni ngumu kujitokeza hadharani kummsema vibaya mwenyekiti wetu ila hapa JF ni dare to talk openly. Mwambie watanzania wanamchukia mno tena wanatamani aondoke kwenye urais hata leo maana hana msaada kwa watanzania.Ndugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri,
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu
Natofautiana na wewe kwa hoja zangu zifuatazo kwa kila hoja zako, kwanza nisema kuwa mh Rais hachukiwi na watanzania Bali anapendwaa na watanzania, kwa kuwa suala la Bei ya vitu siyo kwamba mh Rais amepansisha Bei za vitu Bali suala Hilo limesababishwa na Hali Ilivyo kwa Sasa duniani kwote ambayo Inatuathiri Hadi huku tulikoMkuu Lucas mwashambwa iko hivi, Mama yetu, Rais Samia ni kiongozi mzuri mno tena mwenye viwango vya kimataifa. Kinachomrudisha nyuma na kumkwamisha hana wasaidizi. Ninaamini angewasikiliza kidogo watu wake wa Vetting naamini watu kama Makamba, Nape, Mwigulu, Ridhiwani etc wasingekuwepo kwenye hizo nafasi na gharama ya maisha ingekuwa chini na watanzania wangempenda mno. Tatizo lilianzia kwenye chanjo ya korona, kila mtu alimuona kituko. Likaja la machinga hawa hawa akina Makala na wengine wakamhujumu akachukiwa. Akaja huyu Mwigulu tozo. Akaja Makamba kuhakikisha bei ya nishati inapanda. Kama utakumbuka walimdanganya Rais wakamwambia eti ni vita Ukraine, baadaye kelele zilivyozidi wakamdanganya tuweke ruzuku. Akaja nape na gharama za vifurushi etc, Ridhiwani hakupaswa kumpatia nafasi kwa sababu ya rekodi mbaya ya baba yake Dkt Kikwete. Mzee wetu JK hapendwi mno na watanzania kwa sababu ya kupenda kukumbatia watu waovu. Sasa Mama yetu uwezo wake wa kiuongozi unamezwa na maovu mengi yanayotokana na ugumu wa maisha. Wewe kama unatumwa kumsifia hapa JF ili kubadili upepo unajichosha, ni yeye mwenyewe achukue ushauri wetu wana JF aufanyie kazi na uzuri sisi ni wana CCM kindakindaki tunajua ni ngumu kujitokeza hadharani kummsema vibaya mwenyekiti wetu ila hapa JF ni dare to talk openly. Mwambie watanzania wanamchukia mno tena wanatamani aondoke kwenye urais hata leo maana hana msaada kwa watanzania.
Naposti nikiwa hapa kujiandikisha jina ili nije kupata mbolea ya Ruzuku ambayo mh Rais ametoa billioni Mia moja hamsiniAlafu unapost ukiwa sebuleni kwa shemeji ukisubili ugali was mchana ule na vitoto vya Dada yako.
Hata ukinitukana Mimi siwezi kunitukana maana Namheshimu kila mtu ikiwepo wewe, Naheshimu utu wa mtu na Kamwe siwezi nikakudhalilisha hata ukinitukana, Giza haliondolewi kwa Giza Bali kwa mwanga, chuki haiondolewi kwa chuki Bali kwa upendo,Una unyani (epidomia)
Yaani wenzio wanalia kibano kila kona we unaleta huu upuuzi... mnakera mno.Hata ukinitukana Mimi siwezi kunitukana maana Namheshimu kila mtu ikiwepo wewe, Naheshimu utu wa mtu na Kamwe siwezi nikakudhalilisha hata ukinitukana, Giza haliondolewi kwa Giza Bali kwa mwanga, chuki haiondolewi kwa chuki Bali kwa upendo,
Kwani wewe huoni juhudi za mh Rais, Ni nchi gani kwa Sasa ambako wananchi wake wanaishi Raha mstarehe, uchumi wa Dunia umeyumba kwa Sasa baada ya mapito ya Corona na Vita vya Ukraine yaliyo itikisa uchumi wa Dunia, juhudi za mh Rais ndio unaona akitoa Hadi RuzukuYaani wenzio wanalia kibano kila kona we unaleta huu upuuzi... mnakera mno.
Utakua uta...pakul bladifakenNdugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri,
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu
Hata ukinitukana bado nitakuheshimu na kumwomba Mwenyezi Mungu akupe moyo wa hekima busara upendo na uvumilivu, tunaweza kutofautiana na bado tusitukanane Wala kudhalilishanaUtakua uta...pakul bladifaken
Hekima za kunyonya watu masikini na visenti vyao??Umekutana na somo linalopaswa kuigwa na viongozi wengi kutoka kwa mh Rais kuwa wanatakiwa wajuwe kuwa ukiwa kiongozi unapaswa kuwa mnyenyekevu na uombe hekima na busara toka kwa Mwenyezi Mungu katika kuongoza watu
Unaota mchanaNdugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri,
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu
Nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe watanzania, hatuna.mjomba tunayeweza tukasema tumsubir aje kutujengea vituo vya Afya,shule,zahanati,Barabara, usambazaji wa maji na umeme, unazani huyo mjomba yeye atatoa hela wapi, au unataka wananchi wake walipe Kodi ndio tuje tupewe sisi, hapana lazima tuanze sisi na atakaye taka kutusaidia atatukuta tunaendelea kuijenga Tanzania yetuHekima za kunyonya watu masikini na visenti vyao??
Thubutuuu weeeHiyo Wizara ya fedha ilimfaa sana January Makamba.
Kwanini?Thubutuuu weee
Nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe watanzania, hatuna.mjomba tunayeweza tukasema tumsubir aje kutujengea vituo vya Afya,shule,zahanati,Barabara, usambazaji wa maji na umeme, unazani huyo mjomba yeye atatoa hela wapi, au unataka wananchi wake walipe Kodi ndio tu tupewe sisi, hapana lazima tuanze sisi na atakaye taka kutusaidia atatukuta tunaendelea kuijenga Tanzania yetuHekima za kunyonya watu masikini na visenti vyao??
Huyu ndie anafaa kuitwa Kiongozi waliobakia wote ni Ma-Rais......Ndugu zangu Nazani mmewahi kusikia Kuna swali linaulizwa iwapo kiongozi Bora anazaliwa au anatengenezwa, Ndugu zangu ukimfuatilia mh Rais mama Samia suluhu Hassani Tangia wakati ule wa bunge maalumu la katiba namna alivyookuwa anasimamia bunge lile lililokuwa limesheheni vichwa vya kila aina, wabobezi wa kila nyanja na watu wa Rika zote toka makundi ya aina zote na jinsi mh mama Samia suluhu Hassani alivyowezaga kulimudu na kulituliza vizuri.
Hakika utakubaliana nami kuwa mh Rais alizaliwa Ni kiongozi, Ni mama mwenye Hekima na busara zisizo na kifani, Ni kiongozi asiye na mihemuko,Ni kiongozi mwenye utulivu katika maamuzi, Ni kiongozi asiye hamaki Wala kukurupuka katika Jambo lolote lile, Ni kiongozi anayejuwa kuchuja kauli zake kabla ya kutoka, Ni kiongozi mwenye breki ya ulimi wake.
Ndugu zangu kauli za kiongozi au ulimi wa kiongozi unaweza ukaligawa Taifa au kuliunganisha Taifa, ulimi wa kiongozi hasa Rais unaweza kuleta umoja na mshikamano au mtafaruko katika Taifa,ulimi na mdomo wa Rais unaweza kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa au kuwakimbiza, ulimi wa kiongozi unaweza Jenga ujirani mwema au kuubomoa.
Ndugu zangu Ni kauli na matendo mema ya mh Rais wetu yaliyosababisha kuona Leo hata viongozi wa upinzani wakisimama mahali kutoa neno uone wakihubiri Aman mshikamano na uzalendo kwa nchi yetu, Kuna wakati baadhi ya viongozi wa upinzani walikuwa wakitoa maneno mpaka unashaangaa, maana yalikuwa ni maneno yaliyoonyesha mioyo yao ilikuwa Ina majeraha ,vidonda, maumivu, machungu, simanzi,visasi, ndio maana uliona wakawa wanaomba hata mabaya yatupate Kama Taifa.
Ndugu zangu lakini mh Rais kwa Sasa amelituliza Taifa, Ambapo kila mmoja anaona ananafasi katika ujenzi wa nchi hii, mioyo ya wengi Ina amani, Na Sasa Kuna kuaminiana Kama Taifa na kusikilizana katika kutafuta muafaka kwa mstakabali wa Taifa letu.
Hongera Sana mh Rais mama Samia suluhu Hassani na pole Sana kwa kazi kubwa unazofanya kututumikia sisi watanzania Hadi unakosa muda wa kupumzika, wananchi tunaendelea kukuunga mkono na kuzidi kukuombea Afya njema, Songa mbele Wala usikatishwe Tamaa na wachachee maana umeleta matumaini kwa wengi na wengi tuna Imani na wewe mh Rais wetu, Maana tunaona dhamira yako ya dhati katika kulijenga Taifa letu.