Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Hii minne ni ya kumalizia safari ya hayati, sasa ikiwa chama kimempa ridhaa utakataa...?Katiba hautamruhusu miaka 14
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii minne ni ya kumalizia safari ya hayati, sasa ikiwa chama kimempa ridhaa utakataa...?Katiba hautamruhusu miaka 14
Kasome KatibaHii minne ni ya kumalizia safari ya hayati, sasa ikiwa chama kimempa ridhaa utakataa...?
Wewe umeajiriwa? Shukuru kwa hilo! Maana hata walimu wa masomo ya sayansi nao wamejazana mtaani.
Kabla ya magufuli kuingia madarakani, ilikua ni ngumu sana kumkuta mhitimu wa masomo ya Hisabati, Fizikia, Kemia na Bailojia akisubiria ajira mtaani!
Ila kwa sasa, wapo lukuki wakifanya mpaka kazi za kujitolea kwa posho ya laki 1 mpaka laki 1 na nusu kwa mwezi!
Wewe kichwa panzi.Kusoma siyo kubeba magunia.Kama ulikuwa unakesha ujue IQ yako ni below 0.5
Hakika ni wengi sana mtaaniWewe umeajiriwa? Shukuru kwa hilo! Maana hata walimu wa masomo ya sayansi nao wamejazana mtaani.
Kabla ya magufuli kuingia madarakani, ilikua ni ngumu sana kumkuta mhitimu wa masomo ya Hisabati, Fizikia, Kemia na Bailojia akisubiria ajira mtaani!
Ila kwa sasa, wapo lukuki wakifanya mpaka kazi za kujitolea kwa posho ya laki 1 mpaka laki 1 na nusu kwa mwezi!
[emoji2032][emoji2032][emoji2032][emoji2032]Nyie si ndio mlikuwa mnalala saa mbili wenzenu tulivyokuwa tunakesha
Hivi kweli una elimu ya chuo kikuu lkn bado unata kuajiriwa? mshahara wenyewe laki 6, aise tz tuna safari ndefu sana ili tujikomboe.Siyo kosa mimi kuwa miongoni mwao.Tofauti iliyo kubwa ni kuwa mimi siyo mbinafsi kama wewe.
Siyo kila jambo lazima useme neno.Hivi kweli una elimu ya chuo kikuu lkn bado unata kuajiriwa? mshahara wenyewe laki 6, aise tz tuna safari ndefu sana ili tujikomboe.
Bado safari tunayo, aachana na mawazo ya kuajiriwa toka nje ukachanganye akiliSiyo kila jambo lazima useme neno.
Kama unafikiri ni kupoteza muda sijaona umuhimu wa wewe kupoteza muda kukomenti.
P