Rais Samia Suluhu Hassan wakumbuke walimu wa masomo ya sanaa (arts)


Sikuwahi kuajiriwa na sina hilo wazo milele
Tulisoma tujue kuhesabu na kuandika hela mkuu
 
Hakika ni wengi sana mtaani
 
Siyo kosa mimi kuwa miongoni mwao.Tofauti iliyo kubwa ni kuwa mimi siyo mbinafsi kama wewe.
Hivi kweli una elimu ya chuo kikuu lkn bado unata kuajiriwa? mshahara wenyewe laki 6, aise tz tuna safari ndefu sana ili tujikomboe.
 
Hivi kweli una elimu ya chuo kikuu lkn bado unata kuajiriwa? mshahara wenyewe laki 6, aise tz tuna safari ndefu sana ili tujikomboe.
Siyo kila jambo lazima useme neno.
Kama unafikiri ni kupoteza muda sijaona umuhimu wa wewe kupoteza muda kukomenti.
P
 
Hao walimu ndio walishiriki uchafuzi mkuu October halafu mnataka tuwaonee huruma?
 
Siyo kila jambo lazima useme neno.
Kama unafikiri ni kupoteza muda sijaona umuhimu wa wewe kupoteza muda kukomenti.
P
Bado safari tunayo, aachana na mawazo ya kuajiriwa toka nje ukachanganye akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…