LGE2024 Rais Samia Suluhu kafanya ubakaji wa Kisiasa kwa kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 Rais Samia Suluhu kafanya ubakaji wa Kisiasa kwa kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Nimesikitishwa sana na Kitendo kilichofanywa na Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kinachogombea, kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Huwa amekuwa akijipambanua Dunia na Chawa wake wameandika articles nyingi wakidai Dkt. Suluhu Hassan ni mwanademokrasia kwa Ulaghai wa 4R's.

Kitendo cha kutoa Maelekezo kwa Tume ya Uchaguzi Serikali za Mitaa aliyoiunda yeye(TAMISEMI) kwamba Wawarudishe wagombea eti wenye "Makosa Madoko', hii kisiasa haikubaliki.

Hii inamanisha hata yeye haiamini Tamisemi. Anaona TAMISEMI inaweza kuonea watu.

Rais Samia angekuwa Muungwana kama angeiacha TAMISEMI ifanye kazi kwa mujibu wa Sheria. Kama mtu hajafuata Sheria aenguliwe tu wala asiogopa kwa kigezo cha kuona aibu kwenye Jumuia za kimataifa.

Aiache TAMISEMI ifanye kazi kama Sheria zilizotungwa na CCM zinazovyota.

Ameingilia kati ili kunusuru aibu ambayo ameipata kwa mataifa rafiki. Awaache TAMISEMI wamvue nguo. Sivyo alivyotaka? Yeye ndo alisaini Sheria hii ya Uchaguzi.

Alitaka Chai sasa kwanini alalamike anaungua?

Awaache TAMISEMI wafanye kazi kwa mjibu wa Sheria ili matundu na Uonevu na ubovu wa Watunga Sheria uonekane. Na Maovu ya TAMISEMI yaonekane.

Huyu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameingilia kati malalamiko ya vyama vya upinzani kudai wagombea wao wameenguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Rais Samia ameielekeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kupuuza kasoro ndogo ndogo zilizofanywa na wagombea wa vyama vya siasa wakati wa kujaza fomu kwa ajili ya uchaguzi huo unaohusu serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uwapo wa wagombea wengi wa vyama vya siasa kuenguliwa kutokana na makosa madogo waliyoyafanya wakati wa kujaza fomu.
 
Wewe ni mufilisi kichwani. Akili yako imevia na umejingishwa ukakubali kufanywa mjinga wa kihalaiki? Wewe na SSH nani ambaye yupo informed na situations zinazoendelea huko ground?

Embu chukua mfano huu hapa: NECTA wasahihishe mitihani yako kwa kuangalia vimakosa kama ya spelling wewe ungevuka hata la nne?

Ni kwanini wanafunzi wa std iv wanasomewa imla na wa sad 7 hawaspmewi?

Jitathimini kabla ya kuandika na hutapata sifa yoyote kwa kuandika ujinga hapa?

I nakuingia akilini kwamba jimbo la kawe wagombea wote wa CDM walikosea kujaza form?
 
Tatizo sio samiah ,Bali ni dola ambayo Hadi Leo imetoa baraka kwa chama kimoja TU kuwa chenye uhalali wa kushika serikali nacho ni CCM!

Hata kama ungekua wewe ungelazimishwa kuhakikisha chama kinashinda Kwa vyovyote vile !ndicho kinachofanyika kwa sasa!
 
uchaguzi ni upotevu wa rasilimali muda, fedha na nishati ya mwili.
wangeacha tamisemi iengue wapinzani wote, ccm wapite bila kupingwa, angalau ingeokoa wapinzani wasipoteze pesa zao kujiandaa na kampeni na uchaguzi
 
Wewe ni mufilisi kichwani. Akili yako imevia na umejingishwa ukakubali kufanywa mjinga wa kihalaiki? Wewe na SSH nani ambaye yupo informed na situations zinazoendelea huko ground?

Embu chukua mfano huu hapa: NECTA wasahihishe mitihani yako kwa kuangalia vimakosa kama ya spelling wewe ungevuka hata la nne?

Ni kwanini wanafunzi wa std iv wanasomewa imla na wa sad 7 hawaspmewi?

Jitathimini kabla ya kuandika na hutapata sifa yoyote kwa kuandika ujinga hapa?

I nakuingia akilini kwamba jimbo la kawe wagombea wote wa CDM walikosea kujaza form?
Wewe unadhani Rais kukubeba ndo suluhisho?

Kwanini usipambanie Sheria zitunge ambazo hazitaonea mtu. Kwanini usitetee taasisi imara?

Kichwa chako kama kazi ndo maana huwezi kuona mbele. Nyie ndomnaomba hela kwa Wagombea.

Kama rais anaweza kusema kitu kikatekelezwa, kwanini kisiwekwe kwenye sheria? Mimi siamini kwenye kubebwa bali kupambana kwa haki. Hao kawe walokatwa ni sababu ya Sheria mbovu. Sheria ya Uchaguzi inampa rais umungu mtu wa kusema chochote na kikatekelezwa.
 
Wewe unadhani Rais kukubeba ndo suluhisho?

Kwanini usipambanie Sheria zitunge ambazo hazitaonea mtu. Kwanini usitetee taasisi imara?

Kichwa chako kama kazi ndo maana huwezi kuona mbele. Nyie ndomnaomba hela kwa Wagombea.

Kama rais anaweza kusema kitu kikatekelezwa, kwanini kisiwekwe kwenye sheria? Mimi siamini kwenye kubebwa bali kupambana kwa haki. Hao kawe walokatwa ni sababu ya Sheria mbovu. Sheria ya Uchaguzi inampa rais umungu mtu wa kusema chochote na kikatekelezwa.
Kumbe unapenda mbeleko ya kupita bila kupingwa acha mnyooshwe ili akili ziwakae.
 
Salaam Wakuu,

Nimesikitishwa sana na Kitendo kilichofanywa na Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kinachogombea, kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Huwa amekuwa akijipambanua Dunia na Chawa wake wameandika articles nyingi wakidai Dkt. Suluhu Hassan ni mwanademokrasia kwa Ulaghai wa 4R's.

Kitendo cha kutoa Maelekezo kwa Tume ya Uchaguzi Serikali za Mitaa aliyoiunda yeye(TAMISEMI) kwamba Wawarudishe wagombea eti wenye "Makosa Madoko', hii kisiasa haikubaliki.

Hii inamanisha hata yeye haiamini Tamisemi. Anaona TAMISEMI inaweza kuonea watu.

Rais Samia angekuwa Muungwana kama angeiacha TAMISEMI ifanye kazi kwa mujibu wa Sheria. Kama mtu hajafuata Sheria aenguliwe tu wala asiogopa kwa kigezo cha kuona aibu kwenye Jumuia za kimataifa.

Aiache TAMISEMI ifanye kazi kama Sheria zilizotungwa na CCM zinazovyota.

Ameingilia kati ili kunusuru aibu ambayo ameipata kwa mataifa rafiki. Awaache TAMISEMI wamvue nguo. Sivyo alivyotaka? Yeye ndo alisaini Sheria hii ya Uchaguzi.

Alitaka Chai sasa kwanini alalamike anaungua?

Awaache TAMISEMI wafanye kazi kwa mjibu wa Sheria ili matundu na Uonevu na ubovu wa Watunga Sheria uonekane. Na Maovu ya TAMISEMI yaonekane.

Huyu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameingilia kati malalamiko ya vyama vya upinzani kudai wagombea wao wameenguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Rais Samia ameielekeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kupuuza kasoro ndogo ndogo zilizofanywa na wagombea wa vyama vya siasa wakati wa kujaza fomu kwa ajili ya uchaguzi huo unaohusu serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uwapo wa wagombea wengi wa vyama vya siasa kuenguliwa kutokana na makosa madogo waliyoyafanya wakati wa kujaza fomu.
Uchaguzi au uteuzi au , au ,au mpaka basi
 
Salaam Wakuu,

Nimesikitishwa sana na Kitendo kilichofanywa na Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kinachogombea, kuingilia Mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mitaa.

Huwa amekuwa akijipambanua Dunia na Chawa wake wameandika articles nyingi wakidai Dkt. Suluhu Hassan ni mwanademokrasia kwa Ulaghai wa 4R's.

Kitendo cha kutoa Maelekezo kwa Tume ya Uchaguzi Serikali za Mitaa aliyoiunda yeye(TAMISEMI) kwamba Wawarudishe wagombea eti wenye "Makosa Madoko', hii kisiasa haikubaliki.

Hii inamanisha hata yeye haiamini Tamisemi. Anaona TAMISEMI inaweza kuonea watu.

Rais Samia angekuwa Muungwana kama angeiacha TAMISEMI ifanye kazi kwa mujibu wa Sheria. Kama mtu hajafuata Sheria aenguliwe tu wala asiogopa kwa kigezo cha kuona aibu kwenye Jumuia za kimataifa.

Aiache TAMISEMI ifanye kazi kama Sheria zilizotungwa na CCM zinazovyota.

Ameingilia kati ili kunusuru aibu ambayo ameipata kwa mataifa rafiki. Awaache TAMISEMI wamvue nguo. Sivyo alivyotaka? Yeye ndo alisaini Sheria hii ya Uchaguzi.

Alitaka Chai sasa kwanini alalamike anaungua?

Awaache TAMISEMI wafanye kazi kwa mjibu wa Sheria ili matundu na Uonevu na ubovu wa Watunga Sheria uonekane. Na Maovu ya TAMISEMI yaonekane.

Huyu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameingilia kati malalamiko ya vyama vya upinzani kudai wagombea wao wameenguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Rais Samia ameielekeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kupuuza kasoro ndogo ndogo zilizofanywa na wagombea wa vyama vya siasa wakati wa kujaza fomu kwa ajili ya uchaguzi huo unaohusu serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uwapo wa wagombea wengi wa vyama vya siasa kuenguliwa kutokana na makosa madogo waliyoyafanya wakati wa kujaza fomu.
kilichofanywa ni uhuni hadi wamejionea aibu ndio maana wameona hili litakuwa na athari kubwa hasi kuliko faida.Vivyo yeyote aliyekuwa ni mhusika kwenye uenguaji jua ameonekana kilaza wa viwango vya juu mmno.Na asiye mzalendo hata kwa maslahi yake na chama chake mwenyewe.
 
Wewe ni mufilisi kichwani. Akili yako imevia na umejingishwa ukakubali kufanywa mjinga wa kihalaiki? Wewe na SSH nani ambaye yupo informed na situations zinazoendelea huko ground?

Embu chukua mfano huu hapa: NECTA wasahihishe mitihani yako kwa kuangalia vimakosa kama ya spelling wewe ungevuka hata la nne?

Ni kwanini wanafunzi wa std iv wanasomewa imla na wa sad 7 hawaspmewi?

Jitathimini kabla ya kuandika na hutapata sifa yoyote kwa kuandika ujinga hapa?

I nakuingia akilini kwamba jimbo la kawe wagombea wote wa CDM walikosea kujaza form?
Umeandika ujinga ....ebu futa
 
Wewe unadhani Rais kukubeba ndo suluhisho?

Kwanini usipambanie Sheria zitunge ambazo hazitaonea mtu. Kwanini usitetee taasisi imara?

Kichwa chako kama kazi ndo maana huwezi kuona mbele. Nyie ndomnaomba hela kwa Wagombea.

Kama rais anaweza kusema kitu kikatekelezwa, kwanini kisiwekwe kwenye sheria? Mimi siamini kwenye kubebwa bali kupambana kwa haki. Hao kawe walokatwa ni sababu ya Sheria mbovu. Sheria ya Uchaguzi inampa rais umungu mtu wa kusema chochote na kikatekelezwa.
Wewe na huyo mwenzako mnayerumbana naye maoni yenu yanalingana na kufanana.
Nadhani kiswahili ulichotumiabkuandika maudhui ndicho kimemchanganya mwenzako.
Wote nyie ni wapenda haki itokanayo na sheria.
Embu somaneni ili muende pamoja.
 
Kitendo cha kutoa Maelekezo kwa Tume ya Uchaguzi Serikali za Mitaa aliyoiunda yeye(TAMISEMI) kwamba Wawarudishe wagombea eti wenye "Makosa Madoko', hii kisiasa haikubaliki.
Mkuu figganigga , kwanza tujifunze appreciation kila mazuri yanapofanyika.
Hili alilofanya Rais Samia ni jambo jema na jambo zuri.

Uamuzi huo ni kama utekelezaji wa ushauri huu Kuelekea 2025 - LGE2024 - Ombi Maalum, Kwa Mtu Maalum Achana na Hizi Mutatis Mutandis Kwenye Chaguzi za SM2024 & U/Mkuu2025, Tumia Ceteris Peribus, Utabarikiwa, Tutabarikiwa!

Hiki alichokifanya Rais Samia, nilikishauri kwa JPM Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi humo nilishauri
Wanabodi,

Sitaki kuingia ndani kwenye technicalities zilizopelekea wagombea wa upinzani wote kuenguliwa, bali natoa wito kwa rais Magufuli aingilie kati hali hii au yeye mwenyewe kama rais wa JMT, au kupitia kwa msaidizi wake Waziri Jaffo wa Tamisemi, ayafumbie macho makosa yote madogo madogo ya wagombea wote wa vyama vyote vya upinzani walioenguliwa kwa mizengwe au kwa sababu zozote, ziwe ni za kweli za halali au ni figisu tuu, ayafute na watoe a general amnesty ya jumla kwa kila aliyegombea apitishwe tuu hivyo hivyo despite all the odds ili Tanzania tuingie kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu mwakani kwa ushindani wa haki, uwazi na usawa kwa vyama vyote kutendewa haki sawa, kwa demokrasia kuachwa kufuata mkondo wake, hivyo hawa waliosusa wote kwa kuweka mpira kwapani warudi uwanjani kipute kipigwe mechi ichezwe watu washindane.

Nakuomba Rais Magufuli na Waziri Jafo, jifanyeni kama mnacheza na watoto, kwanza wafungulieni njia watoto wote washindane kwa haki, washiriki kwenye uchaguzi huu kwa uhuru na kwa haki sawa kwa vyama vyote despite mapungufu walionayo ili hata uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, wakati Watanzania watakapo irejesha Tanzania kwenye mfumo wa Chama kimoja CCM, iwe ni Watanzania wenyewe ndio wameamua kuichagua CCM kwa haki kupitia uchaguzi huru na wa haki ulioendeshwa na Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi ulioendeshwa kwenye uwanja sawa na tambarare wa ushindani, na sio CCM ishinde katika ule ushindani wa kugombea kisu cha makali kuwili, huku mshindani mmoja ameshika kwenye mpini na mshindani mwingine kwenye makali. Hivyo CCM ishinde kihalali kwa kufuatia kazi nzuri ya rais JPM na serikali yake na sio kwa sababu CCM ndio iliyokamata mpini!
Paskali
Hili Rais Samia amelifanya na anastahili pongezi za dhati.
P
 
Hii nchi mpaka hapa ilipofikia, inahitaji watu jasiri sana wa kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu. Kinyume na hapo, tutaendelea tu kulalamika mpaka siku ya kiama.
Vijana (20 - 40 ) ambao ndiyo nguvukazi ya Taifa wamekimbilia kwenye uchawa - utalikomboaje Taifa la namna hiyo.
 
Tengeneza Tatizo,,,Kisha Tatua Tatizo,,Hakuna Linalotokea Kwa Bahati mbaya Kila Kitu Hutokea Kwa Mipango Pangwa Ya Kabla,,,Sasa na Hata Kwa Baadaye...Iwe Unafahamu Au La,,Iwe Unataarifa Au La,,,Iwe Umejiandaa Au La,,,Iwe Unataka Au La n.k.
 
figganigga ,

..KIKATIBA Samia Suluhu Hassan ndiye Waziri wa Tamisemi.

..Tamisemi ni Wizara iliyoko ndani ya Ofisi ya Raisi.

..Wizara yoyote ambayo iko chini ya ofisi ya Raisi, Waziri wake ni Raisi mwenyewe.

..Waziri wa Nchi kama alivyokuwa Mchengerwa sio Waziri kamili ktk wizara hiyo.

..Lakini hata huyo Mchengerwa ni mkwe wa Raisi Samia.

..Nimetoa maelezo marefu kiasi hiki ili ujue hila, na ulaghai, wa Samia Suluhu.
 
Back
Top Bottom