Rais Samia Suluhu keshapasua jipu tayari huko“ Sote tumejua CCM ni kama fisi tu wanakulana wao wao”

Rais Samia Suluhu keshapasua jipu tayari huko“ Sote tumejua CCM ni kama fisi tu wanakulana wao wao”

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Kinachoniuma sana mimi mfuasi kindakindaki wa iliyokuwa awamu ya Tano ni kwamba Masalia yetu ambayo tulitegemea 2025 yatakuwa imara yameshavunjwa miguu tayari hayana ujanja tena.

Tena wamesemwa kama watoto yatima ambao hawana wazazi, tukianzia Katelephone kisha Spika (JBL) naona ndio mwisho wao kisiasa.

Ila huyu Spika (JBL) ndio famba kabisa haiwezekani mtu kama yeye kusimama mbele na kutubu kwa binadamu kwa sala yetu pendwa ya “NIMEKOSEA NIMEKOSEA SANA MIMI MKOSEFU” kwa kweli ametukosea sana sisi wakiristo kutoka kanisa pendwa la Roman Catholic (R.C).

Ila sijashangaa sana maana baada ya clip ile kuzagaa ilivutwa waya moja kwa moja ikimtaka kufanya hivyo alivyofanya jana la sivyo angeondoshwa kwa aibu kuu.

Mwisho kabisa tujitahidi kuheshimu mamlaka “Serikali” hakika mwenye kisu ndiye mula nyama sio kwa mchambo huu mzito kutoka kwa Chifu wetu Hangaya kutoka kisiwani, hakika Wazanzibari nimewanyooshea mikono juu.
 
'
JamiiForums2099652560.jpg
 
Hana maisha marefu huyu, kanisikitisha sana alipoomba msamaha ni vyema angekaa kimya hata kama simu iliyopigwa ilimlazimisha kufanya hivyo..
Nilishakutwa na kadhia kama hio katika taasisi flani ya kiserikali ila niliamua kukaza kiume tu!

Sikuomba msamaha na wakanipiga probation😅 japo walikuwa wanafosi niombe msamaha kwa kosa la kusingiziwa maana hawakuwa na ushahidi!
 
Huyu boya Ndu Gay amezingua sana yani kumlilia binti wa kikojani😅
Narudia tena hakuna mgogo aliye na akili timamu hata kama wako humu naomba wanisamehe tu maana hawa ni binadamu dhaifu na ndumilakiwili na leo tumeshuhudia mzee alivyochambwa na bibi kutoka visiwani.
 
Narudia tena hakuna mgogo aliye na akili timamu hata kama wako humu naomba wanisamehe tu maana hawa ni binadamu dhaifu na ndumilakiwili na leo tumeshuhudia mzee alivyochambwa na bibi kutoka visiwani.
Hahahahah kweli wagogo toka nakuwa sijawahi kutana na Mgogo serious
 
Haina ujanja wapelekeane moto wakishapata akili nchi tumempa yule mzee wa ubwabwa wa bure
 
Narudia tena hakuna mgogo aliye na akili timamu hata kama wako humu naomba wanisamehe tu maana hawa ni binadamu dhaifu na ndumilakiwili na leo tumeshuhudia mzee alivyochambwa na bibi kutoka visiwani.
Wagogo ni watu wahovyo mno tena sana. Waongo wachonganishe vigeugeu. Sijui ni ile ndonya na yale makengeza yao yameenda kutibua mpaka ubongo. Usije kula deal na mgogo lazima akutaje ama akuruke.
 
Haina ujanja wapelekeane moto wakishapata akili nchi tumempa yule mzee wa ubwabwa wa bure
Mama nae kutangaza ugomvi mapema hii kakosea sana ila ndio kawaida ya wana CCM wengi ni ndumilakuwili wanaenda na upepo usijeshangaa hawa ambao wako na mama kwa sasa 2025 wanamkana mchana kweupe..
 
Kinachoniuma sana mimi mfuasi kindakindaki wa iliyokuwa awamu ya Tano ni kwamba Masalia yetu ambayo tulitegemea 2025 yatakuwa imara yameshavunjwa miguu tayari hayana ujanja tena.

Tena wamesemwa kama watoto yatima ambao hawana wazazi, tukianzia Katelephone kisha Spika (JBL) naona ndio mwisho wao kisiasa.

Ila huyu Spika (JBL) ndio famba kabisa haiwezekani mtu kama yeye kusimama mbele na kutubu kwa binadamu kwa sala yetu pendwa ya “NIMEKOSEA NIMEKOSEA SANA MIMI MKOSEFU” kwa kweli ametukosea sana sisi wakiristo kutoka kanisa pendwa la Roman Catholic (R.C).

Ila sijashangaa sana maana baada ya clip ile kuzagaa ilivutwa waya moja kwa moja ikimtaka kufanya hivyo alivyofanya jana la sivyo angeondoshwa kwa aibu kuu.

Mwisho kabisa tujitahidi kuheshimu mamlaka “Serikali” hakika mwenye kisu ndiye mula nyama sio kwa mchambo huu mzito kutoka kwa Chifu wetu Hangaya kutoka kisiwani, hakika Wazanzibari nimewanyooshea mikono juu.
Screenshot_20220104-220254.jpg
 
Well sl
Wagogo ni watu wahovyo mno tena sana. Waongo wachonganishe vigeugeu. Sijui ni ile ndonya na yale makengeza yao yameenda kutibua mpaka ubongo. Usije kula deal na mgogo lazima akutaje ama akuruke.
Well said kabisa mkuu, nimecheka sana 😝😝
 
Haina ujanja wapelekeane moto wakishapata akili nchi tumempa yule mzee wa ubwabwa wa bure
Alafu yule Mzee wa Ubwabwa almanusura achukuwe Nchi kimasihara na Ubwabwa wake,kukosa TISS kumuaharibia yeye ndiyo angekuwa Rais, maana kwenye Mikutano yake watu walikua wanajaa alafu wanakula ubwabwa, na mbongo ukisha mpa Msosi tu umesha mmaliza hana ujanja tena!!
 
Ningepata nafasi ya kumshauri mama samia suluhu hassani..ningemshauri awatimue wasukuma wote walioko ngazi za juu za uongozi serikalini...hawa ndio wanaomfanya mama anakosa amani ya kuiongoza nchi yetu...kwani magufuri ni nani kwenye nchi hii?..WHO IS MAGUFURI BY THE WAY!....MAMA FUKUZA WASUKUMA PANGA SAFU MPYA YA UONGOZI ....TUPO TUNAOMKUBALI SANA MAMA HATA TUNGELALA NJAA SISI TUNAMPENDA HIVYO HIVYO....
 
Back
Top Bottom