Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Rais Samia Suluhu amewataka mawaziri na watendaji wote kuwajibika na kufanya kazi na rekodi zao zitawafata katika maisha yao. Rais amesema pamoja na macho yake kulegea, yanaona na atakuwa na jicho kubwa kuangalia rekodi zao.
"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.
"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.