Rais Samia Suluhu: Kila mwenye nia 2025 aache mara moja

Rais Samia Suluhu: Kila mwenye nia 2025 aache mara moja

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Rais Samia Suluhu amewataka mawaziri na watendaji wote kuwajibika na kufanya kazi na rekodi zao zitawafata katika maisha yao. Rais amesema pamoja na macho yake kulegea, yanaona na atakuwa na jicho kubwa kuangalia rekodi zao.

"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.

 
Dada kazi unayo mpaka huruma bado wako jikoni wengine sokoni kuandaa madikodiko wakiyaweka mezani dada utapata tabu
 
Uwaziri sasa hivi umekuwa kama elimu ya bongo, anayejituma atakula matunda ya jasho lake.

Mungu amsaidie Rais wetu, maana hakuna ajuaye kesho
 
Rais Samia Suluhu amewataka mawaziri na watendaji wote kuwajibika na kufanya kazi na rekodi zao zitawafata katika maisha yao. Rais amesema pamoja na macho yake kulegea, yanaona na atakuwa na jicho kubwa kuangalia rekodi zao.

"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.

Mwigulu usiweke dosari yoyote ile ndani ya utendaji wako wa kazi. Dalili zote zinaanza kuonyesha kuwa wewe ni "the next in power"
Kila la heri.
 
Rais Samia Suluhu amewataka mawaziri na watendaji wote kuwajibika na kufanya kazi na rekodi zao zitawafata katika maisha yao. Rais amesema pamoja na macho yake kulegea, yanaona na atakuwa na jicho kubwa kuangalia rekodi zao.

"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.

Mama jicho limelegea kweli kweli
 
Back
Top Bottom