Rais Samia Suluhu: Kila mwenye nia 2025 aache mara moja

Rais Samia Suluhu: Kila mwenye nia 2025 aache mara moja

Mahesabu ya majaliwa naona yamevurugika,nilitamani sana majaliwa awe rais ila basi tu,kwa sasa ni ngumu,maana natamani samia akimbie hadi 2030,labda ajipange kuanzia 2030
 
Hamna kitu hapo anawapigia mbuzi gitaa tu.

CCM wanajua wakishapitishwa na chama chao kuwa wagombea urais basi automatically wanakuwa wameshashinda urais wenyewe, kwasababu hii katiba mbovu iliyopo itawapa ushindi.

Ndio maana wao hutumia nguvu nyingi na muda mwingi kuwekeza kwenye chama chao ili wapitishwe kuwa wagombea, hapo mwenyekiti asipoteze muda wake kuwashauri nini cha kufanya.
Kumbe hata mwenyekiti mwenyewe haelewi anachotaka, huko CCM ni vurugu tupu.
 
Bi hangaya hataki mwengine yoyote aongelee urais ndo maana anamkumbatia madelu na kamuingiza februari ili apunguze vichokochoko, tusubiri usajili wa gwajiboy ndani ya timu...........
 
Back
Top Bottom