Pagoda Hunter
Senior Member
- Apr 15, 2020
- 140
- 176
Mama Samaia Hassan Suluhu anazidi kuthibitisha kuwa, Kwenye uumbaji Mwenyezi Mungu alituumba Wanaume wa Kwanza lakini AKAWAPA WANAWAKE HEKIMA, UPENDO NA NIDHAMU KAMA UPENDELEO KWAO NA KUTUTOFAUTISHA NA SISI (wanaume)..
wanaume sisi tukipata madaraka tunakuwa jeuri na kusababisha Mabalaa na mitafaruku
ndio maana wakasema hakuna kama MAMA
wanaume sisi tukipata madaraka tunakuwa jeuri na kusababisha Mabalaa na mitafaruku
ndio maana wakasema hakuna kama MAMA