Pagoda Hunter
Senior Member
- Apr 15, 2020
- 140
- 176
ππππππππKumbe hata yeye anajuwa kuwa macho yake yamelegea
Yeah,..... ndio hayo Pascal Mayalla aliwahi "kusema" humu kuwa anayapenda?Kumbe hata yeye anajuwa kuwa macho yake yamelegea
Huo ni ujumbe kwa yule rais wa kwenye mawe..Rais Samia Suluhu amewataka mawaziri na watendaji wote kuwajibika na kufanya kazi na rekodi zao zitawafata katika maisha yao. Rais amesema pamoja na macho yake kulegea, yanaona na atakuwa na jicho kubwa kuangalia rekodi zao.
"Inapoingia kipindi cha pili cha Rais aliepo, watu kidogo mnakuwa na lile na hili kuelekea mbele, nataka kuwaambia acheni. Twendeni tufanye kazi, hili na lile tutajua mbele, sawa ndugu zangu?" Alisema Rais Samia.
Mungu aepushie mbaliiiiiiiiii2025 twende na Mwigulu
Iyo ndio itakua balaa saaSi huwa anajitizama kwenye kioo?? Asije tu kuongeza kuyalegeza.
Ila jamaa atakuwa anamfaidi ule mjicho akimsukumia pipe bibie Mheshimiwa RaisNi mke wa tatu kwa First Gentleman
Mawe yote ya Singida yataandikwa na Mwigulu maneno :"Samia ni Rais" ili ashinde amteue tena kuwa Waziri wa Fedha amalize Kazi.2025 mawe yote ya Singida yatakuwa na print ya "Mwigulu ni Rais"
Hah hah huna nia njema na Mwigulu, huo ni uchonganishi .2025 twende na Mwigulu
Yeah,..... ndio hayo Pascal Mayalla aliwahi "kusema" humu kuwa anayapenda?
Huyo ni mtekaji kama tu Makonda, wanategemea sana uchawi. Bure kabisa.2025 twende na Mwigulu
Wapi?2025 twende na Mwigulu