Mama mama mama nakuombea kwa Mungu tenda haki katika kazi zako zote na Mungu atausimamisha imara utawala wako.Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Ule mgari una ma antenna, hadi tumboni yanaona umekula nini, nahisi mgari umebaki Chato!Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar ...............
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Mama mama mama nakuombea kwa Mungu tenda haki katika kazi zako zote na Mungu atausimamisha imara utawala wako.
Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Ila nimeshughudia live anavyoshuka kwenye ndege nimemwona mlinzi mmoja na lisilaha la hatari na zile gwanda za usaMuda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Ila kiukweli lile limgari la machumachuma pamoja na lile njemba jeusi lenye sura pana lisilocheka walikua wanapendezesha sana protokali.
Kama vp Mh. Rais Mama Samia asimuche yule bwana na lile limgari
Ila kiukweli lile limgari la machumachuma pamoja na lile njemba jeusi lenye sura pana lisilocheka walikua wanapendezesha sana protokali.
Kama vp Mh. Rais Mama Samia asimuche yule bwana na lile limgari
Unatoa tetesi bila kugusia taasisi zenyewe, hakika uandishi wa siku hizi unampa wakati mgumu sana msomaji.
Hahahaha linaitwa Jammer... Lina vuruga mifumo yote ya mawasiliano ( frequency jammer ) likiwepo lile hakuna kupiga wala kupokea cm labda simu zao tu ndio zitaweza maana wame allow hizo tu kwenye system yao .....linazuia attack inayotokana na masafa ya simu au mtandao ....Ila kiukweli lile limgari la machumachuma pamoja na lile njemba jeusi lenye sura pana lisilocheka walikua wanapendezesha sana protokali.
Kama vp Mh. Rais Mama Samia asimuche yule bwana na lile limgari
Mkuu mbona ule Mgari upo?Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Anakupa hi tuu...Kigogo2014 anasemaje kwani[emoji441]