kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Hajui lolote yule saiv,Taaarifa hazivuji tena saiv.Kigogo2014 anasemaje kwani🎤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui lolote yule saiv,Taaarifa hazivuji tena saiv.Kigogo2014 anasemaje kwani🎤
Ngoja madaraja na mito yaanze kuitwa majina yake, atapoa tu hakuna namna.Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Aanze na majizi ya CCMDr Mwigullu Nchemba atazuru hapo Ufipa jumatano ijayo!
Mtunza hazina weka kumbukumbu vizuri!
Mlinzi wa kweli Ni Mungu.Hahahaha linaitwa Jammer... Lina vuruga mifumo yote ya mawasiliano ( frequency jammer ) likiwepo lile hakuna kupiga wala kupokea cm labda simu zao tu ndio zitaweza maana wame allow hizo tu kwenye system yao .....linazuia attack inayotokana na masafa ya simu au mtandao ....
Ndiyo Ukweli WenyeweMlinzi wa kweli Ni Mungu.
Bila ulinzi wa Mungu hata utembee na jammer tatu, helikota mbili juu, walinzi 70 Ni bure tu.
Mfano mzuri tunao
Mlinzi wa kweli Ni Mungu.
Bila ulinzi wa Mungu hata utembee na jammer tatu, helikota mbili juu, walinzi 70 Ni bure tu.
Mfano mzuri tunao
Ina maana mliopo karibu mitandao haifanyi kazi?Hahahaha linaitwa Jammer... Lina vuruga mifumo yote ya mawasiliano ( frequency jammer ) likiwepo lile hakuna kupiga wala kupokea cm labda simu zao tu ndio zitaweza maana wame allow hizo tu kwenye system yao .....linazuia attack inayotokana na masafa ya simu au mtandao ....
Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Mwambie na mimi nampa hi!!😅Anakupa hi tuu...
Ungesema Afisa habari wa Ikulu sio CCM.Kamanda umekuwa afisa habari wa CCM siku hizi safi sana
Nafikiri Mama keshawajua😅😅😅anakula za chembee...burudani sana.kwahiyo ile nchi ya tweeter imepoa😅😅😅hatari sanaHajui lolote yule saiv,Taaarifa hazivuji tena saiv.