Rais Samia Suluhu ni chaguo la Mungu

Hata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo.
 
Nikiangalia tatizo la umeme lilivyo, halafu nisikie unaongea huu upuuzi nachoka kabisa.
 

Peleka upumbavu wako huko. Mnakwaza sana, sasa namba ya simu iko wapi? Hemu rudi haraka.
 
Sio chaguo la Mungu na ndio maana kila kitu ni shida. Nchi imelaanika na na uongozi umefitinika.
 
Ungekuwa karibu yangu ningekuzaba makofi!
 
Majitu yenye njaa na uharo kama hili yalimpotosha mzee
 
Kumbe mapessa na MANKA MUSA ni mtu mmoja!!???
 
Imethibitika kuwa humu kuna watu wana ID zaidi ya moja kwa ajili ya kazi maalumu.
Huu ni ushahidi tosha.
Wewe MANKA MUSA na mapessa ni mtu mmoja mwenye ID zaidi ya moja.
 
Kwa hiyo tukusaidie nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…