Rais Samia Suluhu ni chaguo la Mungu

Umeshaambiwa no swala mda tu na siyo la kudumu. Mbona unawahi sana kwani unawahi wapi
Tuna Zaidi ya miaka 15 tatizo la umeme ni hili hili, au muda mfupi kwako ww ni upi?
 
Mungu hawezi kuchagua kiongozi wa hovyo kiasi hicho. Labda chagua la shetani
 
Mungu yupi!
 
RAIS SAMIA SULUHU NI CHAGUO LA MUNGU.

Ndio, Rais Samia Suluuh ni chaguo la Mungu. Mungu huwa akikuchagua hutumii nguvu kwenye kufanikisha mambo yako,

View attachment 2755961
Uliongea na MUNGU lini akakwambia SAMIA ni chaguo la watanzania? Angalia sana Utalaaniwa kwa kumlisha MUNGU maneno na udhaifu wako.Nakusihi usimtaje MUNGU ww msifu tu SAMIA wako na usiseme ni chaguo la MUNGU.
 
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Mzigo kwa shingo.,
 
Kasoro kubwa ni kukaa kimya wakati mambo yanaharibika. Bandari kupewa waarabu tena moja kwa moja bila kikomo, ni doa chafu kwake na kamwe hawezi kutakasika. Mzee Mwinyi yeye aliiuza Loliondo hadi leo anajuta kufanya vile. Lakini ipo siku Loliondo itaeejea tena Tanganyika. Hebu jiulize kwanini kusitokee mauzo ya visiwa vya Zanzibar kwa wajomba zao waarabu?
 
Ni chaguo la Shetani
Your browser is not able to display this video.
 
'Kutanguliza mslahi ya Watu mbele'hivi shuleni mnaendaga kusomea ujinga?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mk--ndu wako
 
Maana ya jina la mtoto aliyesaidiwa leo Mbozi ni Jiwe la msaada ukisoma 1Samweli 7:12 Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Eben-ezeri, akisema, Hata sasa Bwana ametusaidia.

Wakati ule Israeli wanamlilia Bwana awarudie, Wafilisti walipata taarifa wakakusanyika pamoja ili wawaangamize, Israeli walivyoona hivyo wakaogopa sana, wakamsihi Samweli awalilie kwa Bwana ili wasaidiwe kwasababu wanakwenda kuangamia. Na Mungu akasikia kilio chao, akawatetea, kwa kutoa ngurumo kubwa sana, zilizowadhoofisha wafilisti, hivyo wakapigwa na kuharibiwa, mpaka miji ambayo wafilisti walikuwa wameiteka ikarudishwa yote kwa Israeli

Kutokea kwa mtoto huyu umri wa miaka nane kusimama katika mkutano mkubwa kama huu na kuonekana ni Ukuu na sauti ya Mungu ilimshukia Rais Samia kuwa amtizame kijana mdogo aliyepambana kutoka nyuma kwenye makundi ya watu hadi mbele na akaonekana kupata msaada.

Rais Samia ni mpango wa Mungu. Ni zawadi kwetu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…