Rais Samia Suluhu ni chaguo la Mungu

Mbingu zilishamkataa kitambo.
 
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Mungu hawezi kuwa na chaguo la shetani kama huyu . Huyu ni chaguo la shetani kabisa . Tapeli na fisadi. Wajinga na tapeli ndiyo wataona ni chaguo la mungu.
 
Kwa yule mungu wenu wa KUZIMU,ni sawa,maana mnazo sababu za kumsifia.
MUNGU WA MBINGUNI ameachia hii laana itupate kwasababu,WANAUME wa Taifa hili [wenye dhamana],wameacha jukumu lao na wajibu waliopewa [mamlaka/utawala],wakajisalimisha kwa Shetani awape mtawala badala yao.Sasa anaupiga mwingi kutimiza ajenda za Shetani.
 
Tuumie mara ngapi we kula kula

Tunaoidai tarura tanroad wanadai serikali ya mama Haina hela
Imepelekea wapi? Hela za watanganyika
 
Sawa ni chaguo la Mungu ila sisi Watanganyika hatujamchagua akatawale mbinguni kama Mungu anampenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…