Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Kenya ilikosea wapi ?Yaani serikali ya kenya wakosee halafu waombwe msamaha, wangethibiti hayo magendo ya vifaranga huko mipakani mwao vingefikaje bongo, ningekuelewa kama watetezi wa haki za wanyama ndo wangeombwa msamaha siyo hao manyang'au...
Mungu ibariki Tanzania na watu wake pamoja na majirani zetu...Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
kubadilika kwa zama hakuna uhusiano wowote na wahalifu, bado wataendelea kushughulikiwa kama kawaidaLabda useme “hivi ndivyo tulivyokuwa tunawashughulikia watu walioleta mchezo kwenye nchi za watu!” Kumbuka zama zimebadilika!
Sasa Tanzania iliwakosea wapi Wakenya mpaka unataka mama akaombe msamaha kwa Kuchomwa vifaranga? wakati vifaranga ni vya wahuni tuu kutoka Kenya waliotaka kufanya biashara za magendoKenya ilikosea wapi ?
Halafu cha kusikitisha mwenye vifaranga aliomba avirudishe Kenya wakamkatalia. Kilichofuata ni kuvipiga kiberiti.Ikiwa unaenda kwenye nchi ya watu basi ni vema ujue umeenda kufanya nini, pia ni lazima ufahamu makosa ambayo nchi yako imewafanyia hao unaoenda kwao, ukiyabaini omba radhi, jambo la kuchoma vifaranga lili alert dunia kuhusu aina ya Uongozi wa Tanzania, ulikuwa unyama wa wanyama.
Aiseeee !!Halafu cha kusikitisha mwenye vifaranga aliomba avirudishe Kenya wakamkatalia. Kilichofuata ni kuvipiga kiberiti.
Hakuna kifaranga hata mmoja aliye kuwa na kosa au uhalifu wowote! Lakini hata kama wangekuwa waalifu, hukumu ya kuwachoma moto, ni zama za kale, sasa hivi Mazaa anashughulikia Suluhu na Uhuru kati yetu na Kenya, if you know what I mean!kubadilika kwa zama hakuna uhusiano wowote na wahalifu, bado wataendelea kushughulikiwa kama kawaida
Kwani kuku au mbuzi wakichinjwa kwa ajili ya vitoweo wanakuwa wamefanya kosa? tumechoma vifaranga elfu 5000 ili kunusuru ndege wetu wengine, kama unataka biashara Fata utaratibu, ukileta uhuni tutaaribu biashara yako na maumivu makali tutakuachia, nafikiri somo lilieleweka baada ya kuchoma vile 5000 hakuna aliethubutu kuleta vifaranga bila utaratibu, hatuna undugu na wahalifu wala bidhaa zao , kuhusu Mama leteni magendo halafu uone kitakacho FataHakuna kifaranga hata mmoja aliye kuwa na kosa au uhalifu wowote! Lakini hata kama wangekuwa waalifu, hukumu ya kuwachoma moto, ni zama za kale, sasa hivi Mazaa anashughulikia Suluhu na Uhuru kati yetu na Kenya, if you know what I mean!
Hii ni dhambi kubwa ambayo iliufanya utawala wa marehemu Magufuli, na ulijidhihirika kuwa ulikuwa ni utawala wa shetani.Lini ataomba radhi pia kwa maiti za binadamu zilizokuwa zinaokotwa mitoni na kwenye fukwe za bahari na kupotea kwa akina Ben Saaanane wakati wa utawala wao katili wa awamu ya tano?
View attachment 2026840View attachment 2026841View attachment 2026846View attachment 2026848
View attachment 2026876View attachment 2026877View attachment 2026878View attachment 2026879
Baada ya hotuba ya Jana ya SASHA sijui bado Una msimamo huu?Mkuu kunywa Soda moja nitalipa. Mimi nawashangaa. Hivi issue mara ya Vifaranga, je wanajua Wakenya Wametufanyia mangapi sisi? Je ni Magufuli alisema chomeni vifaranga? Wanaokoteza vitu vidogo vidogo mno.
Hayati Dr. Magufuli kipenzi cha Watanzania walio wengi hayupo wao wanapambana naye. Ni aibu. Chadema tunawakumbusha 2025 si mbali, mjipange msijeanza kulia. Mnakomaa na Hayati, kule Samia anatekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, 2025 atakiwaleza wananchi nini amefanya kama atagombea yeye kura chungu nzima kwake ama kwa mgombea wa CCM wa wakati huo, ninyi mnabaki kulalama.
Badilikeni basi. Msitafte cheap politics, jipangeni 2025 mtakuwa na Sera gani Mbadala wa Sera za CCM ili Mshinde. Kitu ambacho mnasahau ni kwamba Hayati JPM alikuwa ni Kipenzi Cha wengi, mkimsema vibaya tu kura zinapungua zaidi, hebu mkomae na mambo ya Msingi.
Mwenyekiti Mbowe kawasababisha chungu ya Matatizo, ninyi mmekaa kimya mpo tu. Hangaikeni naye, acheni mambo ya Hayati Dr. JPM, Mwamba wa Mageuzi nchini Tanzania na Africa.
Kila ubaya utalipwaHii ni dhambi kubwa ambayo iliufanya utawala wa marehemu Magufuli, na ulijidhihirika kuwa ulikuwa ni utawala wa shetani.
Makonda na wenzake waliokuwa wakisimamia mambo haya, hata kama si leo au kesho, siku moja ni lazima wasimame mahakamani kujibu, na kupewa hukumu sawasawa na matendo yao.
Tunaomba Mungu awajalie pumziko jema marehemu wote waliouawa wakati wa utawala dhalimu wa marehemu Magufuli, na walio hai kwa namna yoyote iwastahiliyo, wapate kinachowastahilia. Ni ushetani mkubwa kuua binadamu wenzako.
Muuaji, hata atende jema gani, hubakia kuwa shetani.
Mkuu umemsikia Mtemi Hangaya jana ?Loo, mada hizi sasa zitatufikisha wapi?
Imebidi haya sasa ndiyo tuyashikie bango wakati huu?
Najishangaa kwamba nimechangia kwenye mada hii!
Njoo uandike leo tena huu upuuzi wakoMkuu kunywa Soda moja nitalipa. Mimi nawashangaa. Hivi issue mara ya Vifaranga, je wanajua Wakenya Wametufanyia mangapi sisi? Je ni Magufuli alisema chomeni vifaranga? Wanaokoteza vitu vidogo vidogo mno.
Hayati Dr. Magufuli kipenzi cha Watanzania walio wengi hayupo wao wanapambana naye. Ni aibu. Chadema tunawakumbusha 2025 si mbali, mjipange msijeanza kulia. Mnakomaa na Hayati, kule Samia anatekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, 2025 atakiwaleza wananchi nini amefanya kama atagombea yeye kura chungu nzima kwake ama kwa mgombea wa CCM wa wakati huo, ninyi mnabaki kulalama.
Badilikeni basi. Msitafte cheap politics, jipangeni 2025 mtakuwa na Sera gani Mbadala wa Sera za CCM ili Mshinde. Kitu ambacho mnasahau ni kwamba Hayati JPM alikuwa ni Kipenzi Cha wengi, mkimsema vibaya tu kura zinapungua zaidi, hebu mkomae na mambo ya Msingi.
Mwenyekiti Mbowe kawasababisha chungu ya Matatizo, ninyi mmekaa kimya mpo tu. Hangaikeni naye, acheni mambo ya Hayati Dr. JPM, Mwamba wa Mageuzi nchini Tanzania na Africa.