Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Chama chochote kishike dola mambo ni hayo hayo wacha Samia akupigeni spana hamtaki kumuheshimu na mnamzonga,ndio Kwanza miezi minne mnampanda kichwani
Time will tell
 
Chadema sasa washtakiwe kwa kuhatarisha amani ya Nchi, huko Mwanza wamekamatwa tena
 
CHADEMA wamekamatwa tena huko Mwanza, na M/kiti Freeman kakamatwa tena
wangekubali kupumzika mbona kipindi cha Uchaguzi bado
mambo ya Corona hawayaoni?
kila kitu kwao ni siasa, Tozo za simu wameibuka nazo
mbona ACT wapo kimya? ulimbukeni utawaponza CDM
 
Yametimia
 
Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
Nyota njema huonekana asubuhi. huyu mama ni hatari maana hata magufuli alitupeleka kidogo karibu mwaka ndio akaanza ubabe. Huyu anataka asubuhi asubuhi aeleweke yuko hivyo.
 
Nyota njema huonekana asubuhi. huyu mama ni hatari maana hata magufuli alitupeleka kidogo karibu mwaka ndio akaanza ubabe. Huyu anataka asubuhi asubuhi aeleweke yuko hivyo.
Ameshaeleweka amepoteza mvuto ndani ya mwezi mmoja
 
Kujadili katiba kunaivuruga vipi nchi. mbona bunge la katiba lilifanyika na nchi haikuvurugika? mbona warioba juzi alisema Katiba ni muhimu na nchi haikuvurugika. Huyu mama anogopa tu kivuli na nina wasiwasi kama hatapoteza dira siku si nyingi. Atahama kuzungumzia maendeleo na kupambana na akina Mbowe. wao ndio walioruhusu upinzani kwani hawakujua kazi ya upinzani ni kuja na wazo mbadala . kama mpinzani ataongea yale yale ya CCM basi maana yake haipo.
 
Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
Leo bado una imani

Kesi ya ugaidi iyoooooo
 
Toeni ujingaa bhana..hamna mana nyie wapinzani..hamna akili..kabisaaa..hii nchi CCM wameishika pabaya..ccm n wezi kila kona..lakin ukiangalia upinzani wanaotaka kuchukua nchi ndo wajingaaaa kabisaaaa...yaan wacha CCM waiendeshee hii nchii tuu
 
Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
Subirini..nakuhakikishiaaa mtamkumbuka jpm.tena ww mzee wa puree lazimaa umkumbukee mana ulimnangaaa mnooo
 
Ila sisi CCM tufanye lakini wapinzani wasifanye!??
Pia vipi Katiba inatamka ayo?
 
Mshana my brother
Hivi uhuru ni lazima kuwe na maandamano?

Au uhuru ni kulazimisha rais afanye yale ambayo vyama vya siasa yanataka ?
Kuna shida gani kama hayo maandamano yanafanyika kwa mujibu wa Sheria?.
Na kuna ubaya gani kumtaka rais aheshimu na afuate Katiba aliyoapa kuilinda?.
 
Kuna shida gani kama hayo maandamano yanafanyika kwa mujibu wa Sheria?.
Na kuna ubaya gani kumtaka rais aheshimu na afuate Katiba aliyoapa kuilinda?.

Shida ipo kubwa tu
 
Ana uwezo mdogo sana alianza kubatizwa kuwa mama wa taifa lakini kwa upumbavu wake kaamuwa kuonyesha makucha yaudictetor mapema mno harafu alivyokosa akili unaanzanaprominentfigure wachamakilichosambaa Tanzania nzima si unaeneza kazi zake bila yeye kufika maeneo husika na hata samia akiridhia Mbowe maisha yake yaondolewe anadhani yeye ataishi milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…