Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
Mama amezuia mkutano wa Chadema wa Bawacha kwa kutumia polisi

Mambo ni moto

Ameanza kazi mkuu
 
Wanaosema mikutano ni mpaka kipindi cha uchaguzi wanakosea sana. Uchaguzi kwa katiba ipi? Hii ya sasa ambayo anapigiwa kura huyu lakini anashinda yule? Hii inayowezesha "kura mpige vyovyote mnavyopenda lakini serikali tunaunda sisi"?

Mahamazisho ya katiba mpya yatafanyikaje bila wananchi kukutana wapendavyo?

Kuamua kwamba vyama vya siasa vinaweza kukutana na wananchi wakati wa uchaguzi tu ni kuvifanya vyama hivyo kupigania uchaguzi tu. Vitajijenga lini?

Watanzania ni wapenda amani kwa silika yao. Matatizo yote ya uvunjivu wa amani huwa yanaletwa na CCM na Polisi wao. Kwa amri za viongozi wa CCM, Polisi wamekuwa wakivuruga sehemu zenye amani. Hii ya kuingilia mkutano wa BAWACHA is just the latest edition.

Mmepiga mabomu kwenye mikutano ya amani. Mmediriki kumwua Mwangosi kwa kumpiga bomu la machozi tumboni. Shame on you CCM and YOUR Police.

Tamshi la Mama halikuwa MAONI yake tu kama wanavyodai wengine. Yeye ni Rais.

Alikuwa ameleta matumaini sana ila sasa AMEZINGUA. Amerudisha mpasuko na taharuki nchi nzima. Tuliyemwona akiongea kwa hekima, upendo na hofu ya Mungu siku za karibuni amekwenda wapi?
 
Kuna watu wanamsukumia huko.
Kuna washauri wapo kwenye mitandao pia. Wakisikia wakuu wa wilaya wanavyoamua mambo kwa ustaarabu wanachukia.
Asipokuwa makini atakuwa dikteta kweli.
Kitendo cha mkutano wa bawacha kuzuia na polisi -sitamhusisha mpaka nijiridhishe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanaotushajiisha katiba mpya, mikutano ya hadhara lengo ni ikulu wala siyo maslahi ya wananchi...

kila mtu, taasisi, au nchi ina vipaumbele.... unavyong'ang'ania katiba mpya iwe agenda ya kwanza kuna madaraja, ajira mpya, miundombinu ya afya, elimu, maji inatakiwa kuimarishwa ni sawa? tukumbuke juzi 2019 serikali za mitaa, 2020 uchaguzi mkuu, 2022 sensa, 2024 serikali za mitaa na 2025 uchaguzi...

hebu tumpe mama muda aweke mambo sawa
Useless

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?



UPDATE tarehe 02/07/2021
Mkutano wa wanawake wa Chadema (Bawacha) uliokuwa unafanyika kwenye ukumbi mikocheni umevamiwa na polisi kwa amri toka juu, Wamefukuzwa ndani ya dakika 30

Serikali ya Samia Suluhu ni ya kidikiteta kuliko ya Magufuli, Hawajaangalia gharama za ukumbi, Polisi kwa amri toka juu wameuvuruga mkutano
Nyuki ni wapole lakini usije ukawachokoza ukaingia kwenye 18 zao utajuta.
Kawaida watu wapole huwa na silka ya hasira za ndani na akikasirika hapo mtatafutana. Na usiombe akawa na uwezo wa kufanya..! Hapatatosha, mtabaki mnajiuliza ni yeye huy??

Niwakumbushe tu awamu ya Mzee Kikwete ambaye waliua wakimchukulia poa kiasi wakaona hawezi kufanya kitu, ndio awamu iliyowatia ndani jamaa wa uamsho baada ya kumchokoza Mzee wetu mpole.

Sasa gia waliyoingia nayo wapinzani specifically ChaDeMa, itawagharimu..! Msidhani Mama ni mpole vile mkajisahau kuwa yeye ndiye Amir Jeshi Mkuu..!!
 
Hiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.

Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.

Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.

Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Wewe kwel mavi
 
Dawa ni mama kuwaacha muongee, kuwasikiliza na kutojibu wala kujishughulisha nanyi. Ajikite tu ktk maendeleo yetu site. Mana kawaambia msubirie kidogo ila mnampangia
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?



UPDATE tarehe 02/07/2021
Mkutano wa wanawake wa Chadema (Bawacha) uliokuwa unafanyika kwenye ukumbi mikocheni umevamiwa na polisi kwa amri toka juu, Wamefukuzwa ndani ya dakika 30

Serikali ya Samia Suluhu ni ya kidikiteta kuliko ya Magufuli, Hawajaangalia gharama za ukumbi, Polisi kwa amri toka juu wameuvuruga mkutano
Huyu mama hajiamini, ni worse kuliko Magufuli. Sijui walimtoa wapi? Wangemrudisha huko Makunduchi....hafai
 
Nyuki ni wapole lakini usije ukawachokoza ukaingia kwenye 18 zao utajuta.
Kawaida watu wapole huwa na silka ya hasira za ndani na akikasirika hapo mtatafutana. Na usiombe akawa na uwezo wa kufanya..! Hapatatosha, mtabaki mnajiuliza ni yeye huy??

Niwakumbushe tu awamu ya Mzee Kikwete ambaye waliua wakimchukulia poa kiasi wakaona hawezi kufanya kitu, ndio awamu iliyowatia ndani jamaa wa uamsho baada ya kumchokoza Mzee wetu mpole.

Sasa gia waliyoingia nayo wapinzani specifically ChaDeMa, itawagharimu..! Msidhani Mama ni mpole vile mkajisahau kuwa yeye ndiye Amir Jeshi Mkuu..!!
Kudai katiba ni kuchokoza? Katiba ya sasa ni mbovu hata yeye na viongozi wa CCM wanajua hivyo. Mkapa wrote it in his book.

Unashobokea unduli.
 
Dawa ni mama kuwaacha muongee, kuwasikiliza na kutojibu wala kujishughulisha nanyi. Ajikite tu ktk maendeleo yetu site. Mana kawaambia msubirie kidogo ila mnampangia
Kuwanyima watu kufanya hafla ni kuwaacha waongee? Laiti angeacha watu waongee.

Kikosi cha askari wenye silaha kuzingira kikundi cha kina mama wanaotaka kufanya hafla ili kuwazuia ni kitu cha ajabu sana. Ni kitendo cha kilimbukeni.
 
This happened during her watch. Kama hakubadiliani nao basi awasahihishe publicly. Au amfukuze kazi DC. The buck stops with her

Chadema mnafanya Rais kama mdoli eeh yan utadhani rais yuko pale kwa ajil ya chadema Tu

Hana mambo mengine ya kufanya

Mnazingua bwana,
 
Kudai katiba ni kuchokoza? Katiba ya sasa ni mbovu hata yeye na viongozi wa CCM wanajua hivyo. Mkapa wrote it in his book.

Unashobokea unduli.
Vijana mnakosea hapo tu! Unaweza ukawa na hoja yenye nguvu lakini maneno yenu ya shombo ndio yanaharibu hata hiyo hoja yenyewe mkaonekana wahuni.
Mjifunze kuhsehimu watu na maoni yao. By the way mimi ukinitusi na kunikashifu sibomoki wala mshahara wangu haupungui
 
Ngojeni awaonyeshee...

Yeye Mama, sisi vijana, tukimzingua tunazinguana...
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?

---
UPDATE tarehe 02/07/2021
Mkutano wa wanawake wa Chadema (Bawacha) uliokuwa unafanyika kwenye ukumbi mikocheni umevamiwa na polisi kwa amri toka juu, Wamefukuzwa ndani ya dakika 30

Serikali ya Samia Suluhu ni ya kidikiteta kuliko ya Magufuli, Hawajaangalia gharama za ukumbi, Polisi kwa amri toka juu wameuvuruga mkutano
So sad. Bado tuko enzi hizo jamani. Kweli yeye na mwendazake ni wamoja.
 
Kukosea kwenye kauli zile zile za dhalimu mwendazake ili aminye haki na uhuru wa vyama vya upinzani kwa mara nyingine tena hadi 2025 kwa kisingizio cha kujenga uchumi!?

Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
 
Back
Top Bottom