Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Hakuna mikutano ya kisiasa dunianzimaa baada ya uchaguziii. Yaaanii mnalazimisha tena hapa Tanzania tuanze kushuhudia mikutano ya kutukanana, vijembe, na maaandamano ya kubugudhi wafanya biasharaa. Hatutaki..kwani Rais Biden ndio amekataza mikutano ya kisiasa?