Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

..kwani Rais Biden ndio amekataza mikutano ya kisiasa?
Hakuna mikutano ya kisiasa dunianzimaa baada ya uchaguziii. Yaaanii mnalazimisha tena hapa Tanzania tuanze kushuhudia mikutano ya kutukanana, vijembe, na maaandamano ya kubugudhi wafanya biasharaa. Hatutaki
 
Kauli yako ya hakuna anayemkumbuka magufuli kwa kuleta maendeleo sio kweli.mi nitamkumbuka magufuli kuliko marais wote.sio kwa mabaya yake bali kwa mazuri.
 
Hakuna mikutano ya kisiasa dunianzimaa baada ya uchaguziii. Yaaanii mnalazimisha tena hapa Tanzania tuanze kushuhudia mikutano ya kutukanana, vijembe, na maaandamano ya kubugudhi wafanya biasharaa. Hatutaki

..Dunia nzima?

..mikutano imezuiliwa ktk nchi zinazotawaliwa KIDIKTETA.

..kihistoria ccm ndio chama kilichobugudhi wanasiasa kuliko vyama vyote Tz.

..fuatilia kuanzia wakati wa siasa za ujamaa, kampeni ya wahujumu uchumi, na hivi karibuni kashfa ya TASK FORCE na kesi za kubambika.

..hakuna chama kimebugudhi, kuhujumu, na kufukuza wafanyabiashara nchini, kuzidi ccm.
 
Alichukifanya Rias ni kuendele uvunjifu wa katiba ni mbaya sana. Mwendazake na Rais Samia wote sawa. Na hii ni dalili ya tuendako. The same old wine in a different bottle.
 
..Dunia nzima?

..mikutano imezuiliwa ktk nchi zinazotawaliwa KIDIKTETA.

..kihistoria ccm ndio chama kilichobugudhi wanasiasa kuliko vyama vyote Tz.

..fuatilia kuanzia wakati wa siasa za ujamaa, kampeni ya wahujumu uchumi, na hivi karibuni kashfa ya TASK FORCE na kesi za kubambika.

..hakuna chama kimebugudhi, kuhujumu, na kufukuza wafanyabiashara nchini, kuzidi ccm.
Dunia IPI wewe mwanaufipa??
 
Hiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.

Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.

Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.

Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Hujui ulichokiandika
 
Siku si nyingi tutaanza tena maombi yetu,sisi manabii.
Ww acha kutisha watu nyinyi mnaiahi kwampalange maombiyenu hayajibiwi [emoji2][emoji1][emoji3][emoji1][emoji2][emoji3][emoji2][emoji1][emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]
 
Achague ubabe au maridhiano... Asijiweke kati atapata tabu sana. Akae na wapinzani wajipange kwa katiba mpya na Uhuru wa kisiasa hataki basi abebe maubabe ya mwenda
 
Hiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.

Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.

Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.

Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Hujafuatilia siasa za Marekani, siasa siyo lazima barabarani
 
Mikutano ya kisiasa hadharani sasa hv ya kazi gani mkuu? kama sio kuleta fujo tu!

Mama yupo sahihi kbs. Amani ndo kipaumbele. Kama katiba inasema tofauti basi iangaliwe upya!

Mikutano ya kisiasa hadharani ifanywe miaka ya uchaguzi
2024- Serikali za mitaa
2025- uchaguzi mkuu
Ukianzisha chama kipya sasa hivi!!
 
Mshana my brother
Hivi uhuru ni lazima kuwe na maandamano?

Au uhuru ni kulazimisha rais afanye yale ambayo vyama vya siasa yanataka ?
Hapana kwa maswali yote mawili, uhuru unaozungumzwa ni ule wa kumuonyesha mama kuwa hapa umependeza au hapa nywele hazijakaa sawa- rekebisha. vyama vya upinzani ni kioo kinachoongea, usikiogope eti kwa kuwa kitasema hapa hapako sawa
 
Mmeshaanza kulalamika...hivi sisi miafrika bila ya udikteta utatuongozaje!???..
 
Back
Top Bottom