Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli

Hapana kwa maswali yote mawili, uhuru unaozungumzwa ni ule wa kumuonyesha mama kuwa hapa umependeza au hapa nywele hazijakaa sawa- rekebisha. vyama vya upinzani ni kioo kinachoongea, usikiogope eti kwa kuwa kitasema hapa hapako sawa

Amesema mumkosoe ila sio kwa matusi
Sasa chadema kukosoa mtu bila kumtukana au bila kugoma hamuwezi

Mwambien hii bajet mbovu na nyie mtoe bajet mbadala,

Sio mambo ya kila siku kuita watu tu
 
Hiyo Katiba iangaliwe upya, Mikutano ya kisiasa ISIWEPO mpaka muda wa Uchaguzi utakapofika.
Nchi zenye Demokrasia tangu miaka 200 iliyopita wanafanya siasa za hadharani inapokaribia Uchaguzi husika.
Sisi Tanzania tunataka miaka mitano mfululizo kupanda Majukwaani kueneza Siasa za uongo, chuki na kutoridhika na matokeo.
Leo Baiden kashinda Urais USA hatujaona Trump na wenzake wapo barabarani wakiendeleza siasa na malumbano
Kweli wewe ni Ukwaju...sijui kama hata unajitambua! Huu uongo wako unakusaidia nini? Hivi unajua hii ni JF? Unapata wapi ujasiri wa kuandika huu upumbavu ndani ya JF? If only idiocy was painful...

NB: Halafu waone hawa wajinga wenzanko waliokupa like...
Reactions: Petition, Beef lasagna, mwakiri and 15 others

1625063143390.gif


1625063143344.gif
 
Amesema mumkosoe ila sio kwa matusi
Sasa chadema kukosoa mtu bila kumtukana au bila kugoma hamuwezi

Mwambien hii bajet mbovu na nyie mtoe bajet mbadala,

Sio mambo ya kila siku kuita watu tu

..chama kisichotendewa haki au kinachoonewa hakiweza kuwa na lugha nzuri dhidi ya watesi wake.

..lugha mbaya na kutukanana ni kwasababu kuna upande mmoja unaonea upande mwingine.

..tukitaka siasa zetu ziwe za kistaarabu na lugha safi basi ni lazima tuweke sheria na taratibu zinazotoa haki sawa kwa vyama vyote vya siasa.

..kuhusu wapinzani kukosoa bajeti hilo lilikuwa linafanyika wakati wa bunge, lakini spika na ofisi yake walikuwa wanazuia bajeti mbadala za kambi ya upinzani kuwasilishwa.
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?
Mkuu,

Yamekuwa hayo tena? Ebo!!!
 
Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!

Ninakubaliana nawe. Katika uzi huu:


ninakazia
 
..chama kisichotendewa haki au kinachoonewa hakiweza kuwa na lugha nzuri dhidi ya watesi wake.

..lugha mbaya na kutukanana ni kwasababu kuna upande mmoja unaonea upande mwingine.

..tukitaka siasa zetu ziwe za kistaarabu na lugha safi basi ni lazima tuweke sheria na taratibu zinazotoa haki sawa kwa vyama vyote vya siasa.

..kuhusu wapinzani kukosoa bajeti hilo lilikuwa linafanyika wakati wa bunge, lakini spika na ofisi yake walikuwa wanazuia bajeti mbadala za kambi ya upinzani kuwasilishwa.

Kudai na kuipata katiba inataka strategies zaidi ya zile za chess au draft.


Uvumilivu, ukomavu, malengo na mwelekeo wa kuchukua ni muhimu sana.

Simba mwenda kimya ndiye mla nyama. Na hapa ndipo bwana Aikaeli anapo wa outsmart wengi.
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?

Kama mama samia unamsingizia ni dikteta, je watangulizi wake! Nyerere na Magu tusemeje yani!!! Au ulikua haujazaliwa!
 
Kapotoka kidgo, kwani haijui katiba?

Mama kama binadamu hapaswi kuwa na maoni na hata kuyashirikisha?

 
Mshana, nakuapia Sasa tutaanza kushuhudia utekaji, mauaji, kubambikiwa kesi, upotezwaji na mengine mengi maovu ya Jiwe. Hii ni kauli ya kifo, maafa na maangamizi. Huyu mwanamke atakuwa hatari kuliko Magufuli nakwambia.

Sasa ukitaka kuanzisha chama utakienezaje? Huyu ni hatari Sana. Simpendi katu maana tunakwenda kufa

Kwanini tusiache kuwa manabii. Tukaiweka kwenye majaribio. Kuwa kuna hoja 2:

1. Katiba si kipaumbele
2. Katiba ni kipaumbele

Tukabiliane na mama kwa hoja badala ya kumhukumu moja kwa moja?

Way forward itokane na kushawishiana kwa hoja.
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?
Wataalamu wa nguvu za giza wanakuambia bora ukutane na mchawi wa kiume kuliko wa kike!!!!!
 
Nimeamini hata ufanye nini hapa duniani huwezi pendwa na kila mtu
Na wale unaodhani unawapenda ndiyo wa kwanza kukuvunja moyo...Mama acha kutishwa Katiba inakupa haki ya kuamua wewe kama Rais pasipo mashinikizo...

Rais hajakataza mikutano kakataza vurugu za siass kuanza kusema eti kakataa mikutano ni kumlisha maneno na kutaka kumshinikiza kwa mambo ambayo wala si ya watanzania bali kundi la watu wa jamhuri ya twiter ambao hata 5% hawafikia....
 
Kauli ya Rais Samia kuminya uhuru wa Raia na vyama vyao vya siasa kwa kutozingatia katiba na sheria ameingia kwenye rekodi mpya kama Rais Mwanamke wa kwanza Africa kuwa Dikteta.

Siku ya 101 madarakani, Rais Samia Suluhu tayari ameanza kulewa sifa na mapambio. Ameamua kuendelea kuminya uhuru wa vyama vya siasa kufanya mihadhara kwa kutumia utashi wake na siyo katiba iliyomfanya Yeye awe Rais bila kupigwa kura za wananchi.

Hakuna uchumi bila haki na uhuru wa watu, Tangu tupate uhuru kwa miaka zaidi ya ishirini na nne ya chama kimoja hakuna Uchumi wowote uliosimama, Uchumi ulianza kusimama wakati wa vyama vingi vya kisiasa na huu ni wakati wa Hayati Ben Mkapa, Hayati Ben Mkapa alisimamia uhuru na kujenga mfumo wa kitaasisi.

Mama Samia ameanza kuonyesha sura yake halisi ya udikiteta mapema sana, Atambue na akumbuke hakuna aliyempigia kura kwenye sanduku kama Rais wa nchi bali amepata Urais kwa kufuata katiba ya nchi, Wananchi wa Tanzania ni waelewa ndio maana Mama alipoapishwa kwa kufuata katiba hakuna aliyelalamika kwenye mitandao ya kijamii, Kuanza kuvunja katiba siku ya 101 kisa umesifiwa sana Jiandae kisaikolojia kwa watu kukusema kimataifa kama mtangulizi wako na kitakachofuatwa ni wewe kuhojiwa maswali Magumu na vyombo vya kimataifa ukajikuta unadhalilika na kutafuta mchawi nani.

Chuki ambayo umejenga kwa kauli yako ya kusema hakuna vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara umeitoa kwa kutumia sheria na katiba ipi? Wewe uliapishwa kwa kufuata katiba kwanini umeanza kuharibu na kupindisha katiba ya nchi?

Kauli yako ya kuminya uhuru wa siasa imekuharibia kila kitu na sasa mjadala umeanza kuwa mkali zaidi, Jiandae Kwa watu kukusema hovyo na kukudhalilisha zaidi ya mtangulizi wako.

Kila kauli ina madhara yake, Kauli yako ya kuwa unajenga Uchumi, Hayati Magufuli alisema analeta Maendeleo. Leo hakuna anayemkumbuka Magufuli na habari zake za Maendeleo bali anakumbukwa kwa kuminya na kukandamiza haki za Raia.

Serikali iwape watu uhuru wao, Kuna tetesi zilizagaa kuwa hata wewe watu walitaka usipewe Urais kwani waliona hutaweza lakini kuna kundi likasimamia katiba na ukaapishwa kuwa Rais, Kwanini wewe unavunja katiba?
Wengi wanaotushajiisha katiba mpya, mikutano ya hadhara lengo ni ikulu wala siyo maslahi ya wananchi...

kila mtu, taasisi, au nchi ina vipaumbele.... unavyong'ang'ania katiba mpya iwe agenda ya kwanza kuna madaraja, ajira mpya, miundombinu ya afya, elimu, maji inatakiwa kuimarishwa ni sawa? tukumbuke juzi 2019 serikali za mitaa, 2020 uchaguzi mkuu, 2022 sensa, 2024 serikali za mitaa na 2025 uchaguzi...

hebu tumpe mama muda aweke mambo sawa
 
Mshana, nakuapia Sasa tutaanza kushuhudia utekaji, mauaji, kubambikiwa kesi, upotezwaji na mengine mengi maovu ya Jiwe. Hii ni kauli ya kifo, maafa na maangamizi. Huyu mwanamke atakuwa hatari kuliko Magufuli nakwambia.

Sasa ukitaka kuanzisha chama utakienezaje? Huyu ni hatari Sana. Simpendi katu maana tunakwenda kufa
Mmmh
 
hebu tumpe mama muda aweke mambo sawa
Mama aliapa kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, mbona mapema sana anaisigina?
Kama ameshindwa hata kuheshimu kiapo chake, je tutegemee nini mbele ya safari?
Kama madaraka yake yanatokana na Katiba, kauli yake mbona inapingana na Katiba?
Kama kuminya uhuru ni kuchochea uchumi, dhana ya kupigania uhuru ni dhana potofu?
Kama Katiba hii ya sasa inamkwamisha, kuna ugumu gani kuifanyia ukarabati kwanza?
Kama msingi wa nyumba una nyufa, kwa nini kipaumbele kiwe ni kupaka rangi ukuta?
Hapana,
Tuache utani jamani, mama kapotea stepu na tukinyamaza hata mawe yatapaza sauti!
Mdharau mwiba mguu huota tende...leo ni kauli, lakini tusije tukasahau kauli huumba!
Mwendazake alianza hivi hivi kwa kauli lakini yaliyojiri tusiombee yatokee tena asilani!
Aliyeumwa na nyoka akiona ung’ong’o hushtuka!
 
Bado nina imani na mama! Pengine kapotoka kidogo lakini hajaharibu kabisa. Tumpe muda zaidi naye ni binadamu si mkamilifu. KUKOSEA KUPO!
Mi nahisi kuna watu anawaogopa ndani ya chama chake.
Lakini hatakiwi kuogopa kwani hata mtangulizi wake hakuwa na uoga wakati wa kuharibu. Sembuse yeye anajenga, asiogope, wananchi tupo nyuma yake,, lakini kama kaamua kuponya aponye kweli aache uoga.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom