Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

kwani hata wakiuza hiyo pesa inaingia mifukoni kwa majizi waliokuwa wanakula songas na IPTL..ukisoma hiyo hotuba ya rais mahitaji ya nchi kwa sasa ni megawat 1888 na umeme uliopo kwenye mfumo ni megawat 3500.. kwahiyo mifumo ya kusafirisha umeme wanayojenga kuelekea nchi mbalimbali lengo ni kuuza hiyo ziada baada ya kutoa mahitaji ya nchi na usikute hata hiyo megawat 1888 wanaimega pia kujazia kwenye mauzo yao ndiomaana shida za umeme haziishi nchini kumbe kuna wahuni wanafanya biashara mpaka kile kidogo kinachobaki kama megawat 1200 tunajitutumua kuuza ni tamaa iliyoje..ila wenzetu wana mpaka MW 40,000-60,000 wametulia tu..JPM kapambana mno kujenga lile bwawa alafu mafisi wanakula mavuno kiulaini kivulini badala ya kupunguza ukali kwa wanachi inatia hasira sana.!
 
 

Attachments

  • IMG-20250309-WA0067.jpg
    72.3 KB · Views: 1
Someone should tell her, the main issue is not to collect money but to ensure that electricity is available and affordable..., nadhani we are missing the plot big time....

Kupata wawekezaji na watu binafsi ni kuongeza watu kati wa kugawana faida hivyo bei lazima ipande bei (after all kila mtumiaji pesa yake imeshachotwa sana na kina REA as well as kulipa madeni ya Uwekezaji)

Pili how does it make sense tuuze umeme nje ili tupate pesa ili tununue LPG nje ili tuje tupikie wakati tungefanya umeme ukawa afforadble wala tusingehitaji kununua LPG, ofcourse kwa vyanzo tulivyo navyo tungeweza pia kuuza nje...

Ila ndio hivyo tunapoteza nafasi hio kwa kuuza crown jewels za taifa
 
Kwanza kabisa nipende kumshukuru mama kwa kuuza umeme nje ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…